Posted on: January 19th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini Mhe. Komanya Kitwala leo tarehe 19.1.2021 amezindua shughuli za uhamasishaji wa Bima ya Afya ya Jamii yaani CHF iliyoboreshwa kwa wananchi wa Tabora Manispaa.
DC Koma...
Posted on: December 18th, 2020
Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma Tanzania umedhamiria kuzifikia Kata zote za Tabora Manispaa ikiwa ni sehemu ya majaribio (pilot area) kwa Halmashauri zote za Tabora Manispaa.
...
Posted on: December 17th, 2020
Mstahiki Meya wa Tabora Manispaa Mhe. Ramadhani Kapela leo amekutana na baadhi ya wafanyabiashara wa vileo Tabora Manispaa na kufanya nao mkutano ambapo waliweza kujadiliana mambo mbali mbali ikiwamo ...