Posted on: March 22nd, 2018
KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa imeiagiza Halamshauri ya Manispaa ya Tabora kuhakikisha ndani ya mwezi huu wanajenga vibanda katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendeyo mikoani...
Posted on: March 22nd, 2018
BAADHI ya Vyama vya Siasa MkoaniTabora vimelipongeza Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kwa kutokuwa na makundi na kuwa na mshikamano na umoja wakati wa uendeshaji vikao vyake.
...