• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MKUU WA WILAYA YA TABORA KOMANYA KITWALA AZINDUA KAMPENI YA UJENZI WA MADARASA 128 KWA MANISPAA YA TABORA

Posted on: September 5th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Tabora Komanya Kitwala leo tarehe 5.9.2019 amezindua rasmi kampeni yake ya kujenga madarasa 128 yatayogharimu kiasi cha Tshs. 2.3 bilioni yenye jumla ya tofali 177,000 katika kipindi cha miaka miwili ijayo.

Katika kampeni hiyo pia itajumlisha shule tatu za Sekondari ambazo zitajengewa mabweni ya wasichana kwa lengo la kuwapunguzia adha ya kutembea umbali mrefu na kuwaepushia wasichana vishawishi vya njiani waendapo au watokapo shuleni.

Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika kwenye viwanja vya kituo cha Afya cha Maili tano kilichopo Ipuli Manispaa ya Tabora, Mkuu wa Wilaya ya Tabora Komanya Kitwala alisema kampeni hiyo inatokana na harambee aliyoianza miezi mitatu iliyopita na kupata kiasi cha shilingi million 380 zikiwa ni fedha taslimu na ahadi kutoka kwa wadau mbalimbali wa Elimu.

Katika uzinduzi huo Komanya alisema kuwa kuna shule tatu zitajengewa mabweni ya wasichana kwa lengo la kuwaondolea adha wasichana kukwepa vishawishi njiani waendapo au kutoka shuleni. Ambapo kwa kuanzia alimkabidhi Afisa Elimu Kata ya Itetemia Jashia Maarufu jumla ya tofali 1481 kwa ajili ya muendelezo wa ujenzi wa mabweni.

Kwa upande wake Afisa Elimu wa Kata ya Itetemia Jashia Maarufu, alisema wanamshukuru sana Mkuu wa Wilaya kwa kuja na wazo ambalo litakuwa mwarubaini wa shida ya majengo ya madarasa na mabweni kwa Shule za Mnaispaa na kwa maana nyingine kampeni yake Mkuu wa Wilaya ya kuipaisha Manispaa Kielimu itafanikiwa kuliko hata walivyotarajia. Hivyo akatumia fulsa hiyo kuwaomba wananchi na wadau wote kumuunga mkono Mkuu wa Wilaya ili kuweza kufikia lengo la kuifanya kila nyumba ya mwana Manispaa kuwa na Muhitimu wa Chuo Kikuu.

Aidha kwa upande wao mafundi wanaofyatua matofali kwa ajili ya ujenzi wa madarasa hayo,walisema kwao imekuwa ni fursa nzuri kwani sasa wana uhakika wa kuingiza kipato kutokana na kazi ya ufyatuaji matofali.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.