• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENEDELEO YA MANISPAA YA TABORA

Posted on: July 30th, 2025

Na Alex Siriyako:

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka huu wa 2025, Ndugu Ismail Ali Ussi, ameeleza kukoshwa na ubora wa miradi ya maendeleo iiliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.

Ndugu Ussi ametoa maelezo haya leo Julai 30, 2025 ambapo amepata fursa ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Manispaa ya Tabora.

Ikumbukwe kuwa, Wilaya ya Tabora imeupokea Mwenge wa Uhuru na kuukimbiza  leo Julai 30,2025 ambapo Mwenge wa Uhuru umeangazia miradi minane yenye thamani ya zaidi ya bilioni kumi na tisa (19)  katika kata za Itetemia, Kitete, Ipuli, Mtendeni, Isevya, Misha pamoja na Cheyo.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa na Mwenge wa Uhuru ni Kituo cha Afya Itetemia, Kikundi cha Vijana cha asilimia kumi cha KAZI DIGITAL, Barabara ya Maili Tano, Kiwanda cha Kuchakata Nishati Mbadala cha Gereza Kuu la Uyui, Ofisi ya Kata ya Isevya, Chanzo cha Maji cha Bwawa la Igombe, pamoja na madarasa ya Wanafunzi wenye mahitaji maalumu shule ya Sekondari Kazima.

Ndugu Ismail Ali Ussi kwa nyakati tofauti tofauti akiongea na Wananchi kwenye miradi na maeneo ya ujumbe wa Mwenge wa uhuru, amewaomba na kuwahimiza  kuendelea kuwa wazalendo, waendelee kuchapa kazi, waendelee kuchukua tahadhari dhidi ya maradhi kama Malaria, Ukimwi, kubwa zaidi akasisitiza Wananchi kujitokeza kuwachagua viongozi wanaowapenda ifikapo Oktoba mwaka huu kwa utulivu na amani.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe.Upendo Wela amemshukuru Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu Ismail Ali Ussi kwa kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo iliyopo katika Manispaa ya Tabora.


Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2025

"JITOKEZE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 KWA AMANI NA UTULIVU."

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 03, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENEDELEO YA MANISPAA YA TABORA

    July 30, 2025
  • DC WELLA AWATUNUKU VYETI WALIMU WALIOFANYA VIZURI KITAIFA

    July 26, 2025
  • CHIFU FUNDIKIRA AONGOZA MAMIA YA WAKAZI WA TABORA KUMUOMBEA DUA RAIS SAMIA

    July 12, 2025
  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

KIONGOZI BORA NI YUPI? | MWL. JK NYERERE
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.