Posted on: August 13th, 2021
Na Alex Siriyako,
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, Ndugu Ramadhani Kapela, ambae pia ni Mwenyekiti wa kamati ya Fedha na Utawala, akiongozana na wajumbe wa kamati hiyo wa baraza ...
Posted on: August 3rd, 2021
Na Alex Siriyako,
Agosti 3,2021 imekuwa siku ya kihistoria katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, ni baada ya kupokea chanjo za Uviko-19 za awamu ya kwanza. Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ni ...
Posted on: July 24th, 2021
Na Alex Siriyako
Kamati ya Siasa ya Chama cha Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tabora leo imefanya ziara ya kutembelea na kukagua Miradi ya Maendeleo saba iliyopo hapa Tabora Manispaa na kuridhishwa n...