• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

BARAZA LA MADIWANI MANISPA YA TABORA LAPITISHA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA BILIONI 50.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

Posted on: February 13th, 2021

Baraza la Madiwani Manispaa ya Tabora imepitisha mapendekezo ya makisio ya kukusanya shilingi bilioni 50.7 katika bajeti ya mwaka wa fedha ujao wa 2021/2022.

Mpango wa Maendeleo na Bajeti yam waka 2021/2022  ambao huwasilishwa Hazina ambapo uchambuzi hufanywa na Wizara ya Fedha na Mipango  kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Ofisi ya Msajili wa Hazina kwa ajili ya kupatiwa na kuangalia kama kama imezingatia vigezo (Scrutiny). Pamoja na kuzingatia Sheria ya Bajeti namba 11 ya mwaka 2015, Mpango na Bajeti yam waka 2021/2022 ambapo umeandaliwa kwa kuzingatia mabo yafuatayo:-

Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020-2025, Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mpango wa maendeleo wa miaka mitano Awamu ya Pili kwa kipindi cha 2017/2018- 2021/2022, Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) 2030,Dira ya Taifa ya Maendeleo (National Vision 2025), Mfumo wa Fulsa na Vikwazo vya Maendeleo (O & OD), Vipaumbele vya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021/2022, Vipaumbele vya Halmashauri ya Manispaa ya Taborana Muongozo wa Kitaifa wa Upangaji Mipango na Bajeti wa mwaka 2021/2022 ambao umetolewa kwa kuzingatia Sheria ya Bajeti namba 11 ya mwaka 2015.

 Akiwasilisha bajeti hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa Ndg. Immanuel Dyelu ambaye ni kaimu Afisa Mipango wa Manispaa ya Tabora alisema makusanyo yajayo yatatokana na vyanzo mbalimbali vya mapato ambapo kati ya fedha hizo shilingi bilioni 45.6 ni ruzuku kutoka Serikali kuu na Halmashauri imelenga kukusanya shilingi bilioni 5 fedha kutoka vyanzo vyake vya mapato ya ndani. Alisema katika mwaka ujao wa fedha wamepanga kutumia shilingi bilioni 7.6 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Aidha Dyelu alivitaja vipaumbele katika bajeti ijayo ni ujenzi wa Stendi kuu yenye eneo la ukubwa wa Hekari 50 katika Kijiji cha Inala , ujenzi wa soko la kisasa, ukarabati wa machinjio, uendelezaji wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya, uboreshaji wa miundombinu ya elimu , soko kuu, barabara za Manispaa na ukarabati wa ukumbi wa sanamu ya Mwalimu Nyerere.

Halmashauri ya Manispaa ya Tabora inafikia malengo ya kuwahudumia wananchi wake kupitia mpango wa miaka mitatu 2021/2022 – 2023/2024 kwenye Sekta ya Kilimo, Mifugo, Elimu Msingi, Elimu Sekondari, Ardhi na Maendeleoya jamii zitaonesha matokeo chanya ya malengo kaika kutekeleza mpango wa miaka mitatu.

Katika utekelezaji wa mpango na bajeti ya mwaka 2021/2022 pamoja na majukumu mengine Halmashauri ya Manispaa ya Tabora itajikita kwenye vipaumbele vikiwamo:-

  • Ujenzi wa Stendi ya kisasa ambapo hadi sasa Halmashauri imeshanunua eneo lenye ukubwa wa hekari 90 lililopo Kijiji cha Inala Kata ya Ndevelwa kwa ajili ya ujenzi huo, kuendelea na ujenzi wa Hospitali ya Wilaya, Ukarabati wa machinjio ikiwa ni pamoja na kuweka mashine za kisasa za kuchinjia pamoja nan a majokovu ya kuhifadhia nyama pamoja na kufanya ukarabati mkubwa wa miundombinu ya masoko na vyoo, stendi ya zamani ya mabasi.

Kwa upande wake Mhe. Ramadhani Kapela ambaye ndiye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora aliipongeza sana Menejimenti na watumishi wote kwa namna ambavyo wanafanya kazi, aidhaa aliwapongeza sana Waheshimiwa Madiwani, Watendaji wa Kata na wote wanaoshiriki kwenye shughuli za maendeleo kwenye maeneo yao ikiwemo ujenzi wa vyumba vya madarasa kwenye Kata zao.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.