Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DC KOMANYA AZINDUA SHUGHULI ZA UHAMASISHAJI WA BIMA YA AFYA YA JAMII (CHF ILIYOBORESHWA) MANISPAA YA TABORA

Posted on: January 19th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini Mhe. Komanya Kitwala leo tarehe 19.1.2021 amezindua shughuli za uhamasishaji wa Bima ya Afya ya Jamii yaani CHF iliyoboreshwa kwa wananchi wa Tabora Manispaa.

DC Komanya amezindua shughuli hiyo kwenye Ukumbi wa Mikutano uliopo Shule ya Sekondari ya Mihayo ambapo alikuwa ameambana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, Viongozi wa Vyama na wataalamu mbali mbali kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.

Akihutubia Mkutano huo mkubwa ambao pia ulikuwa umejumuisha Wenyeviti wa Mitaa, Vijiji, Vitongoji na Viongozi mbalimbali wa taasisi za kidini, Komanya aliwaeleza kuwa Tabora Manispaa bado hajakuwepo na muitikio mzuri kwa wananchi kujiandikisha kwenye huduma ya Bima ya Afya ya Jamii kwa sababu katika Tabora Manispaa hapakuwa na utoaji wa elimu ya kutosha juu upatikanaji wa Bima ya Afya ya Jamii yaani CHF ILIYOBORESHWA jambo ambalo limenisukuma kuwaiteni hapa ili tupeane elimu na tuende tukahamasishe wananchi wetu, waumini wetu na wakazi wetu kila mmoja kwenye eneo lake ili tuweze kuwasaidia kupata huduma hiyo na kuokoa maisha yao.

Aidha Komanya alisema kuwa, viongozi wote wa kidini, kisiasa, na wa kiserikali wanao wajibu wa kuelimisha na kuhamasisha bila kuchoka kwakuwa hiyo jamii wanayoishi nayo ina hatma kubwa ya ukuaji wa kiuchumi, kijamii na kiustawi kwakuwa kama itakuwa haina uhakika wa afya basi hayo yote yatakuwa hayana maana yoyote kwakuwa hayataweza kutekelezeka.

Kando na hayo, pia DC Komanya alitumia fulsa hiyo kuwaagiza Watendaji wote wa Kata, Mitaa na Vijiji kwenda kuifanya ajenda ya Bima ya Afya kuwa ni ya kudumu kwenye vikao na mikutano yao yote kuanzia sasa ambapo watapaswa kutoa elimu na hamasa kwa wajumbe na wananchi wao.

Awali akisoma taarifa ya UTEKELEZAJI WA HUDUMA ZA CHF ILIYOBORESHWA ndugu Nehemia Steven ambaye ni Mratibu wa CHF ILIYOBORESHWA kwa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora alimueleza Mhe. Komanya kuwa Manispaa ina lengo la kuandikisha wanachama kwenye kaya 47,922 zenye wastani wa wanufaika 287,532 ambapo tangu wameanza kuandikisha ni kaya 921 zimekwisha andikishwa zenye wanufaika 5,339 ambayo ni sawa na asilimia 2 ya lengo kuu na kwamba kwa mwaka huu wa 2021 Halmashauri imejiwekea lengo la asilimia 10 ya uandikishaji wananchama.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Tabora Mjini Mhe. Mohamed Katete alimpongeza sana Mhe. Mkuu wa Wilaya kwa namna ambavyo amekuwa mbunifu na mfuatiliaji wa kazi zake za kila siku tangu afike Tabora Manispaa na kwamba amewezesha mambo mengi kwenda vizuri ikiwa ni pamoja na kuongeza mapato ya Halmashauri, kuboresha miundombinu ya Elimu na Afya na kwamba hana shaka na hili la Bima ya Afya litakwenda vizuri sana.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.