Posted on: June 23rd, 2021
Mkuu wa wilaya ya Tabora, Mheshimiwa Dkt.Yahya Ismail Nawanda akiambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya pamoja na Meya wa Manispaa Tabora, amefanya kikao chake cha kwanza na watumishi...
Posted on: June 22nd, 2021
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt Batilda Buriani leo tarehe 22.6.2021 amewaapisha wakuu wa Wilaya wapya wawili ambao ni Dkt Yahya Nawanda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini na Ndg. Matiko Paul Chacha
...
Posted on: June 16th, 2021
Baraza maalumu la waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya manispaa ya Tabora leo tarehe 16 Juni, 2021, limepata wasaa wa kuijadili na kupata ufafanuzi wa kutosha kuhusu repoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...