• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

BARAZA LA WAFANYAKAZI LAMPONGEZA MHE. SAMIA S. HASSAN KWA JITIHADA ZAKE ZA KUTATUA KERO ZA WATUMISHI

Posted on: January 6th, 2022

Na Alex Siriyako;

Baraza la Wafanyakazi la Halmashauri ya Manispaa ya Tabora limempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jitihada zake za kutatua kero mbalimbali za watumishi ndani ya Manispaa ya Tabora na Nchi nzima kwa ujumla. Baraza la Wafanyakazi limetoa pongezi hizi leo katika kikao maalumu cha kujadili na kupitisha Rasimu ya Bajeti ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Mwenyekiti wa kikao ambae pia ni Mkurugenzi wa Halmashuri ya Manispaa ya Tabora Dr. Peter M. Nyanja amefungua kikao na kuwakaribisha wajumbe wote waliohudhuria kwenye mjadala huo. Miongoni mwa viongozi wa vyama vya wafanyakazi waliohudhuria ni pamoja na  Bw. Emmanuel Manzilili, Makamu Mwenyekiti TUKTA Mkoa wa Tabora, Bi. Digna Nyaki, Katibu C.W.T Mkoa wa Tabora, Dr. Charles Milambo, Mwenyekiti TUGHE Mkoa wa Tabora, Bw. Sareh Suleimani, Mwenyekiti TALGWU Mkoa wa Tabora, Wajumbe wa Baraza pamoja na Wataalamu wa Idara na Vitengo mbalimbali wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.

Pamoja na kumpongeza Mh. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Viongozi na Wajumbe kwa pamoja wanamuomba sana Rais Samia kupitia Wizara ya Utumishi na Utawala Bora,aweze kuongeza jitihada za kuwapatia Watumishi haki na Stahiki zao ikiwemo upandaji wa madaraja kwa wakati, Wastaafu kupata fedha zao za kiinua mgongo kwa wakati, malipo ya mapunjo ya mishahara kwa watumishi, pamoja malipo ya fedha za likizo kwa watumishi na wastaafu yafanyike kwa wakati.

Mwenyekiti wa C.W.T Mkoa wa Tabora ambae vilevile ni Makamu Mwenyekiti wa TUKTA Mkoa wa Tabora, Bw. Emmanueli Manzilili kwaniaba ya wajumbe amempongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora kwa kuimarisha Mshikamano na upendo wa Watumishi,pia amempongeza kwa jitihada zake za dhati za kupeleka fedha kwenye miradi ya maendeleo hususani ngazi ya kata kwani mpaka sasa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora imeshapeleka zaidi ya 26% kwenye miradi ya maendeleo kutoka mapato ya ndani.

Dr. Peter Nyanya ambae ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora na Mwenyekiti wa Baraza, katika kuhitimisha kikao amewapongeza Wajumbe kwa michango yao mizuri na ameahidi kupambania maslahi ya watumishi wa Halmashauri yake, amesisitiza kuwa ataendelea kupeleka fedha nyingi kwenye miradi ya maendeleo ngazi za chini kabisa kwa Wananchi na kupitia Baraza hili ameahidi  kwamba Hospitalli ya Wilaya atahakikisha inafunguliwa Januari 15, 2022 ili kuwapa fursa Wananchi kupata huduma bora na kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.