• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KAMATI YA SIASA YA WILAYA YAIPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA SITA

Posted on: December 15th, 2021

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Tabora ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambae pia ndio mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi(CCM) Wilaya ya Tabora Bw.Mohamed Katete akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Dkt. Yahaya Nawanda, Mustahiki Meya Mh.Ramadhani Kapera, Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Dkt. Peter Nyanja, Katibu wa CCM, Wilaya ya Tabora Bi.Neema Lunga pamoja na wajumbe wengine wa kamati ya siasa wametembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.

Akiongea na Wajumbe wa kamati,pamoja na Watendaji mbalimbali wa Serikali, Bwana Katete amemshukuru sana Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suruhu Hassan kwa upendo wake mkubwa kwa WanaTabora, kwamba ametupendelea sana kwa miradi yote anayotupa, vilevile amempongeza Mkuu wa Wilaya, Mh. Yahaya Nawanda pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa Tabora Dkt. Peter Nyanja kwa usimamizi mzuri na wenye tija katika miradi yote hii ya maendeleo.

Miongoni mwa miradi iliyopata fursa ya kutembelewa na kukaguliwa ni pamoja na Ujenzi wa madarasa matano, ofisi moja kwa kiasi cha milioni mia moja, ujenzi huu ukitokana na fedha za Mpango Wa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO-19, pia kamati ikakagua umaliziaji wa Boma la madarasa matatu na ofisi moja, ambapo Serikali imetoa milioni ishirini na tano, Hali kadhalika Kamati imekagua ukarabati wa Maabara unaotumia milioni thelathini ambazo ni fedha kutoka Serkali kuu. Miradi yote hiyo mitatu inatekelezwa kwenye Shule ya Sekondari Ipuli,Kata ya Ipuli.

Kamati imekagua Ujenzi wa Barabara kutoka Kakora kwenda Mwibiti,Barabara yenye urefu wa Kilometa 12 na inatarajia kugharimu kiasi cha Shilingi milioni miambili tisini na moja na laki tatu (291,300,000/=).Mradi huu umeanza Novemba 20 na unatarajia kukamilika May  2022.

Katita kata ya Misha, Kamata imeweza kukagua Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya kitakachogharimu kiasi cha milioni miambili na Hamsini (250,000,000/=) fedha kutoka Serikali Kuu, katika Mradi huu ambao ndio unaanza kutekelezwa, Kamati imetoa wito kwa Uongozi Halmashauri kuhakikisha kuwa Wananchi wanashirikishwa ipasavyo katika kila hatua. Vilevile kamati imesisitiza suala la usimamizi mzuri wa fedha za Serikali upewe kipaumbele.

Lakini pia Kamati imeweza kukagua Mradi wa Ujenzi wa Madarasa matano na Ofisi mbili katika Shule ya Sekondari Misha ambapo ujenzi uko hatua za umaliziaji.Kamati vilevile imemaliza kwa kukagua ujenzi wa madarasa sita, ofisi mbili katika Shule shikizi ya Usule, Kata ya Mbugani ambapo vilevile ujenzi uko hatua ya umaliziaji.

 Bw. Katete, ambae pia ndio Mwenyekiti wa Kamati pamoja na kulidhika na ubora wa miradi amesisitiza  ushirikishwaji wa Wananchi katika miradi yote hii ili waone umiliki wa Miradi yao, pia amesisitiza uadilifu na uaminifu  katika usimamizi wa fedha hizi za miradi

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.