• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DC KOMANYA AKABIDHI VITAMBULISHO 12000 VYA WAJASILIAMALI KWA WATENDAJI WA KATA

Posted on: May 29th, 2020

Mkuu wa Wilaya Tabora Mjini Mhe Komanya Kitwala amekabidhi Vitambulisho 12,000 vya Wajasiliamali kwa Watendaji wa Kata 29 Tabora Manispaa ambavyo vitauzwa kwa Wajasilimali wadogo wadogo watakaokuwa na vigezo kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali.

DC Komanya amekabidhi Vitambulisho hivyo kwenye hafla fupi ambayo ilifanyika kwenye Ukumbi wa Manispaa ya Tabora ambapo palihudhuriwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Ndg. Bosco Ndunguru, Wakuu wa Idara, Vitengo, Afisa Tarafa Kusini pamoja  na Watendaji wa Kata.

Akikabidhi vitambulisho hivyo DC Komanya alitaka Watendaji Kata wote kwenda kuifanya kazi hiyo kwa uadilifu, umakini na uaminifu mkubwa kwakuwa itahusisha ukusanyaji wa pesa kutoka kwa Wajasiliamali hao na kuzipeleka Serikalini.

‘’Nendeni mkaifanye kazi hii kwa uadilifu mkubwa, uaminifu na umakini mkubwa kwakuwa mnaenda kushika pesa za Serikali na maisha ya watu ambao ndiyo hao wajasiliamali wadogo wadogo, na mhakikishe kuwa wanaopewa ni wale wenye vigezo peke yake kwa mujibu wa maelekezo ya Serkali na siyo vinginevyo na mkaifanye kazi kwa mfumo wa ushirikiano kama timu moja,’’ alisisitiza DC Komanya.

Akipokea vitambulisho hivyo kwa niaba ya Halmashauri, Mkurugenzi wa Manispaa Ndg. Bosco Ndunguru alimshukuru Mhe Komanya kwa maelekezo hayo na akamhakikishia kuwa kazi hiyo itaenda kutekelezwa kwa uangalifu na usimamizi mkubwa sana na kwamba yeye mwenyewe kama Mkurugenzi atafuatilia kwa ukaribu zaidi zoezi hilo.

Vitambulisho hivyo vilivyopokelewa ni sehemu ya muendelezo wa zoezi la Serikali kuwasaidia Wajasiliamali wadogo wadogo Nchini ambapo kwa mara ya kwanza vilianza kutolewa mwaka 2019 Januari kwa lengo la kuwaondolea usumbufu na kero wakati wa kufanya biashara zao na pia Serikali kuwatambua Wajasiliamali wadogo wadogo kwa maendeleo yao na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.