Posted on: September 16th, 2021
NA PAUL KASEMBO
HALMASHAURI ya Manispaa ya Tabora imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi milioni 884 ambayo ni sawa na asilimia 18 ya makadirio ya kukusanya bilioni 4.6 ya mwaka wa fedha 2021/202...
Posted on: August 26th, 2021
Mheshimiwa Ramadhani Kapela, ambae ni Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, ameongoza kikao cha Baraza la Waheshimiwa Madiwani cha robo ya nne ya mwaka wa fedha 2020/2021.
Baraza hilo vi...
Posted on: August 17th, 2021
Na Paul Kasembo.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dkt. Batilda Buriani, amezindua rasmi Baraza la Biashara ya Wilaya ya Tabora lenye lengo la kujenga uelewa na mtazamo wa pamoja kuhusu masuala muhimu...