• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MKUU WA MKOA WA TABORA AZINDUA UTEKELEZAJI WA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI

Posted on: March 3rd, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Batilda Burian amezindua rasmi ki- Mkoa utekelezaji wa Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi hafla ambayo imefanyika katika Mtaa wa Milambo, Kata ya Ngambo Halmasahuri ya Manispaa ya Tabora.Akihutubia wananchi ambao walijitokeza kwenye hafla hiyio, Dkt. Batilda aliwaeleza kuwa ujio wa zoezi hilo la Anwani za Makazi ni muhimu sana na limekuja kwa wakati muafaka, kwani baada ya zoezi hilo kutafuatiwa na zoezi la SENSA.Dkt. Batilda aliwataka wananchi kujitokeza kwenye utekelezaji wa Mfumo huo huku akiwasihi kutoa ushirikiano mkubwa zaidi kwa timu itakayokuwa inawafikia majumbani mwao ili kuweza kufanisha jambo hilo kwa ufanisi zaidi.Niwaombe wananchin wote Tabora kushiriki kikamilifu kwenye kazi hii inayokwenda kuanza hivi karibuni, mkatoe ushirikiano mkubwa kwa wataalamu wetu watakao wafikia kwenye utekelezaji ili sisi kama Mkoa tuweze kufanya vizuri, kwa wakati na kwa ufanisi zaidi na kwa wakati uliopangwa, alisema Dtk. Batilda.Aidha alitumia nafasi hiyo kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe. Dkt. Yahaya Nawanda kwa kuweza kuanza utekelezaji huo na kuwa kinara kulinganisha na Wilaya nyingine, ambapo kwa Wilaya ya Tabora pekee ndiyo wamefikia asilimia 40, kulinganisha na Wilaya nyingine ambazo hazijafikia zaidi ya asilimia 20. Awali Mkuu wa Wilaya ya Tabora akimkaribisha Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt. Yahaya Nawanda alimshukuru sana Mhe. Samia suluhu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuliona hilo na kuamua litekelezwe ili kwenenda na dunia ya sasa. Aidha akamshukuru sana Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Dkt. Batilda Burian kwa kuamua kuichagua Wilya ya Tabora kuwa sehemu ya uzinduzi wa utekelezaji wa kazi hiyo, huku akimuahidi kuwa Wailya ya Tabora itafanya vizuri sana kwenye utekelezaji huo na kwamba litakuwa la usahihi, kwa wakati na kwa ufanisi zaidi kwakuwa viongozi wote walishirikishwa kikamilifu kwenye semina elekezi juu ya kazi hiyo.Nikuahidi Mkuu wa Mkoa kuwa sisi Wilaya tumejipanga vema sana kwenda kutekeleza kazi hii, na kwamba tuna uzalendo, nguvu n uelewa mkubwa wa jambo hili na nikuahidi tuu kuwa sisi tutakuwa wa kwanza kutekeleza kimkoa na tutafanya vizuri sana, alisema Dkt. Nawanda.Hafla ya Uzinduzi ilihudhuriwa pia na baadhi ya viongozi mbalimbali akiwepo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ta Tabora Ndg Mohamed Katete, Mbunge wa Jimbo la Tabora Mjini Mhe. Adamson Mwakasaka, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora Mhe. Ramadhani Kapela, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Ndg Seif Salum.Kukamilika kwa utekelezaji buu wa Anwani za Makazi na Postikodi kutaiwezesha jamii yote kuwa na mawasiliano ya uhakika, upatikanaji wa huduma bora zaidi za kijamii na uhakika wa kuwafikia 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.