• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA MANISPAA YA TABORA YATEMBELEA NA KUKAGUA UJENZI WA MTANDAO WA BARABARA ZA LAMI ZENYE UREFU WA KM 5.32 NA KURIDHISHWA NA KAZI HIYO

Posted on: September 23rd, 2019

 ya fedha na Utawala  ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Msatahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Mhe. Leopord Ulaya leo tarehe 23/09/2019 imetembelea na kukagua ujenzi wa mtandao wa barabara za lami zenye urefu wa km 5.32.

Akizungumza baada ya ukaguzi huo Mhe Ulaya alisifu juhudi zinazofanywa na mkadarasi (Chongoging International Construction Corporation (CICO) chini ya usimamizi wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Manispaa ya Tabora.

“Nawapongeza  sana kwa kazi nzuri  mnayoendelea kuifanya kwenye ujenzi huu wa barabara ya lami na kwamba imeonesha matumaini makubwa ya kwamba kazi hii itaisha kwa wakati na kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi wa Manispaa yetu ya Tabora kwa kuwa sasa wataweza kupita wakati wote na kupitisha bidhaa zao na hivyo kuwa na uhakika wa kukua kwa uchumi kwa wananchi wote na kubadilisha mandhari ya muonekeano wa Manispaa yetu, alisema Ulaya’’.

Kwa upande wake  Onesmo Mgoha ambae ni Mhandisi mshauri wa kampuni ya Advanced Enginnering Solution Ltd aliwaeleza wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala kwamba ujenzi unaondelea unazingatia vigezo na masahrti yote ya kikandarasi na kwamba ujenzi huo upo kwenye ubora wa hali ya juu kabisa na hauna shaka yoyote.

 

Awali kwenye utambulisho wa  wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala Mhandisi Edwin Kabwoto ambaye ndiye Meneja wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini kwa Manispaa ya Tabora aliwaeleza wajumbe kuwa Mhandisi  mshauri  yupo eneo la ujenzi (Site) wakati wote na anaendelea na kazi bila kuchoka ili aweze kukabidhi kazi kwa wakati.

 Ujenzi wa mtandao wa barabara za lami kwa Manispaa ya Tabora unatarajiwa kukamilika ifikapo Desemba 2019

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.