• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA TABORA LAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA HOTUBA YAKE KATIKA MKUTANO WA 76 BARAZA KUU LA UN

Posted on: September 25th, 2021

Na Paul Kasembo

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa yaTabora  limempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa jinsi alivyowasilishahotuba yake ya kwanza katika Mkutano wa 76 kwenye Baraza Kuu la Umoja waMataifa.

Tamko hilo limetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora Mhe.Ramadhani Kapela kwa niaba ya Madiwani wenzake walipokuwa kwenye Baraza Maalumla Madiwani lililokuwa likijadili na taarifa ya hesabu kwa mwaka wa fedha2020/2021.

Alisema wao kama wawakilishi  wa wananchi kutokaKata mbalimbali za Manispaa ya Tabora wameguswa na kuvutiwa na mambo mbalimbaliyaliyomo kwenye hotuba hiyo yakiwemo Tanzaniakuendeleza ushirikiano wa karibu katika siasa za kimataifa wenye lengo lakukuza uchumi na ustawi wa wananchi wa Tanzania.

Mhe.Kapela alisema jambo lingine lililowagusa katika hotuba yake ni pamoja nasuala la kuweka nguvu za pamoja katika kukabiliana na janga lamaambukizi ya virusi vya UVIKO 19.

Alisemawao kama Madiwani wataendelea kumuombea kwa Mungu ili aendelee na kazi nzurianazozifanya kwa ajili ya kuwaletea maendeleo wananchi na kuwatengenezeaWatanzania mazingira ya kuwa  na afya nzuri .

AidhaMstahiki Meya aliwataka Madiwani wote kuendelea kutoa elimu kwa watu wao juu yaumuhimu wa kushiriki zoezi la kupata chanjo ya kukabiliana na jana la UVIKO 19ambazo zinaendelea kutolewa kwenye maeneo mbalimbali Manispaa ya Tabora.

Alisemakama viongozi wa Kitaifa, Mkoa na Wilaya wamechanja ni vema wananchi naowakachanja ili kulinda nguvu kazi ya Taifa isije ikapotea na kurudisha nyumauchumi wa Manispaa ya Tabora na Taifa kwa ujumla.

“Nduguzangu Waheshimiwa, watumishi wa Manispaa yetu, viongozi wa Serikali, viongoziwa dini na wadau wote mbalimbali Manispaa ya Tabora, tujitokeze kupata chanjoya UVIKO 19 ambayo kwa sasa inatolewa takribani maeneo yote ya huduma za afyahapa Manispaa, kama kiongozi wetu wa Taifa amechanja, viongozi wengine wa ngaziya kitaifa wamechanja, na kimkoa Mkuu wetu wa Mkoa wa Tabora, Mkuu wa Wilayawamechanja nikiwemo mimi pia nimechanja, Mkurugenzi nae amechanja wewe mwingineunangojea nini kupata chanjo?”, Mhe. Kapela alieleza na kuuliza kwa msisitizo. 

Katikahatua nyingine Barazala Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kwa kauli moja limepitishataarifa ya ufungaji wa hesabu za Halmashauri kwa mwaka 2020/21.

Wakichangia taarifa hiyo Madiwani wamewataka wataalamukufanyia kazi kasoro zote zilizojitokeza katika ukaguzi uliopita ili suala lakupata hati chafu lisijirudie tena.

Wakati huo huo Mkuu wa Wilaya ya Tabora Dkt. Yahya Nawandaamewataka Madiwani kusaidia kutoa elimu kwa watoto waliopo katika Kata zaokujiepusha na vitendo vya uhalifu.

Alisema kuna baadhi ya watoto ni wanafunzi hivi karibunikatika Manispaa yetu wamekamatwa kwa tuhuma za kushiriki vitendo vya uhalifuikiwamo ukataji mapanga na kuwanyang’anya watu mali zao.

Dkt. Nawanda alisema kuwa mtoto hakumuondoi kwenye kosa kamaatabainika kushiriki vitendo vya kiharifu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.