• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

TABORA MANISPAA NA MPANGO HARAKISHI NA SHIRIKISHI WA UTOAJI CHANJO YA UVIKO -19

Posted on: September 27th, 2021

Na Paul Kasembo-TMC

Mkuu wa Wilaya ya Tabora Dkt. Yahaya Nawanda ametoa wito kwa Kamati ya Afya ya Masingi Tabora Manispaa na makundi mbalimbali wakiwemo na Wataalamu wa afya, Viongozi wa Dini, Waalimu, Viongozi wa Mitaa, Vijiji, Wakuu wa Taasisi na Ofisi nyingine za Serikali zilizopo hapa Tabora Mjini pamoja na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kushiriki kikamilifu katika Mpango Harakishi wa Utoaji Chanjo ya Uviko-19.

Dkt. Nawanda ameyasema hayo wakati wa Mkutano wa Kamati ya Afya ya Msingi Halmashauri ya Manispaa ya Tabora uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Manispaa na kwajumuisha wadau mbalimbali wa afya.

“Kampeni hizi za chanjo zimekuwa zikifanyika Nchi nzima ni muendelezo ukizingatia kuwa Tanzania inaungana na Nchi nyingine kote Duniani kuhakikisha kuwa inapambana na ugonjwa huo na kuweka mikakati madhubuti wa kujikinga na UVIKO-19 ikiwa ni pamoja uimarishaji wa utoaji chanjo hiyo”, alisema Dkt. Nawanda.

Aidha Dkt. Nawanda alisema kuwa chanjo ya UVIKO-19 inatolewa kwa hiari kwenye maeneo zaidi ya 35 ndani ya Manispaa ya Tabora pamoja na huduma ya Vituo tembezi ambapo ambapo amewataka wadau wa kikao cha afya waende kuwa wawakilishi, wasaidie kutoa elimu kwa wananchi walioko kwenye maeneo na wakawe mabalozi wazuri huku wakitumia kauli mbiu “AFYA NI MTAJI, MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO-19 NI WAJIBU WETU TUJUMUIKE KWA PAMOJA, CHANJO NI SALAMA.” 

Kando na Dkt. Nawanda, Mratibu wa Chanjo Manispaa ya Tabora Ndg Vitus Ntenga alisema kuwa kirusi cha Korona ambacho ni kipya duniani, ni sehemu ya familia ya virusi vinavyosababisha  homa ya mafua kwa miaka mingi, ambapo uzalishwaji wa chanjo ya UVIKO-19 umetokana na muendelezo wa tafiti zilizofanywa muda mrefu, jitihada za mataifa jumuishi pamoja na taasisi za utafiti wa magonjwa ya dharula na yale ya mlipuko.

Hitimisho la mkutano huo ambao ulijumuisha wadau mbalimbali limekubaliana kwa kauli moja kuwa kufikia lengo la kumaliza chanjo zilizopokelewa na kwa asilimia 100 kabla ya mwezi Novemba 2021.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.