• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA MANISPAA YA TABORA YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: November 1st, 2019

Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora imetembelea na kukagua Miradi mbalimbali ikiwemo ya vyanzo vipya vya mapato ilikujione namna ambayo inaendelea kutekelezwa.

Akizungumzawakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Leopord Ulaya ambaye ndiyeMstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora, alisema pamoja na kuridhishwa kwa namnaambavyo Miradi inatekelezwa, lakini pia aliagiza Menejimenti kutafuta ufumbuziwa changamoto zilizojitokeza na zinazojitokeza ili kuweza kutoa huduma iliyobora zaidi kwa wananchi wa Manispaa ya Tabora.

“Pamojana kuridhishwa na Menejimenti kwa namna ambavyo mnasimamia na kutekeleza miradihii yote ambayo inaendelea na inayoaanza katika sekta zote na ule mradi mpyautapelekea kuongeza mapato ya Halmashauri mfano kuwekwa kwa geti stendi ya basiambapo wale wote wasiokuwa na tiketi ya basi na wananingia stendi kuapatahuduma watapaswa kulipia Tshs 200/=kwa mtu mmoja. Lakini pia tunaagiza kuona namnaya kushughurikiwa kwa changamoto zote zilizo tajwa ikiwemo ya kujenga sehemu yakupumzikia abiria, sehemu ya kujikinga wakati wa mvua hasa kwa wale watumishiwaliopo kwenye geti zote tatu pale stendi, na upatikanaji wa madawati kwamadarasa mapya yaliyokamilika’’, alisema Mhe Ulaya.

Aidhakwa upande wake Naibu Mstahiki Meya Manispaa ya Tabora Mhe Yahya  Mhamalialiwataka wataalamu wote wa Manispaa ya Tabora kufanya kazi kwa weledi naubunifu ili waweze kuisaidia Halmashauri ya Manispaa kuongeza Mapato, jamboambalo litaleta mrejesho wa huduma iliyobora zaidi kwa wananchi wote waManispaa ya Tabora.

Awaliakitoa taarifa ya Miradi, Mchumi wa Manispaa Ndugu Joseph Kashushura aliwaelezawajumbe wa kamati kuwa kwa sasa Menejimenti ya Manispaa ya Tabora inaendeleakwa kasi zaidi kutekeleza Miradi iliyopo na kuanzisha Miradi mingine ambayoitakuwa ni vyanzo vipya vya mapato ya Halmashauri kama vile kuwekwa kwa getistendi ya basi ambapo kwa siku makusanyo ni zaidi ya laki sita na wastani waMillioni 4 kwa wiki inapatikana kwa sasa na hivyo kuwa na ongezeko la kati yaasilimia 5 mpaka 6 kwenye pato la ndani  la Halmashauri ya Mnispaa yaTabora.

Kamatiya Fedha na Utawala ya Manispaa ya Tabora ilitembelea na kukagua miradi kadhaaikiwemo ukarabati wa Machinjio, chanzo cha kipya cha mapato cha stendi ya basi,ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu wa KM 6.2 na ujenzi wamadarasa kwa shule za msingi.

Kuanzishwa,kuboreshwa na kusimamiwa vizuri kwa miradi hii kutasaidia sana kuongeza mapatokwa Serikali na kwa wananchi wa Manispaa ya Tabora na hatimae kuwezesha utoajiwa huduma zilizo bora na zenye tija zaidi hasa kwenye sekta za Afya, Elimu,Miundombinu, Maji na kupunguza mlundikano wa wanafunzi kwenye madarasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.