• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DAS-TABORA MJINI AWATAKA VIONGOZI WA MITAA KUTOA HUDUMA BILA UPENDELEO

Posted on: November 26th, 2019

VIONGOZI wa Serikali za mitaa waliochaguliwa wametakiwa kuwahudumia wananchi bila ya upendeleo wowote na kujiepusha na vitendo vya rushwa kwani ndiyo chanzo cha migogoro kwenye maeneo yao ya utawala.

Hayo yamesemwa leo na Katibu Tawala Wilaya ya Tabora Mjini Hammarskjold Yonaza wakati wa zoezi la kuwaapisha viongozi hao wa mita lilifanyika kwenye ofisi za Manispaa hiyo.

Yonaza aliwaeleza viongozi hao wa Serikali za Mitaa waliochaguliwa kuwa wakitoa haki bila upendeleo itasaidia sana kutimiza ndoto za wananchi wanaowaongoza na waliowachagua ili waweze kuwaletea maendeleo yao na pia kuishi bila migogoro.

“Hakika msipotenda haki ina maana mtakuwa mmeshindwa kuongoza na kutoa fursa ya kuwepo migogoro kwenye maeneo yenu jambo ambalo halikubaliki kabisa hasa kwenye Serikali hii ya awamu ya tano,” alisema Yonaza.

Aidha Katibu Tawala aliwaonya wachaguliwa kujiepusha na vitendo vya rushwa ambavyo kwa namna moja au nyingine vyaweza kuwa  vinasababisha kuzalisha migogoro katika jamii na kuwatia aibu wao wenyewe pindi watakapobainika.

Kwa upande wake Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Manisapaa ya Tabora William Mpangala alisema kuwa Manispaa ina jumla ya Mitaa 134, wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) 126 walipita bila kupingwa na Mitaa 8 ndio iliyofanya uchaguzi ambapo wagombea wa Chama hicho walishinda.

Aidha Mpangala alisema kuwa Chama cha Mapinduzi pia kilinyakuwa viti vyote vya wenyeviti wa vijiji 41 na vitongoji 156 baada ya wagombea wake kupita bila kupingwa.

Viongozi hao wameapishwa leo tarehe 26/11/2019 na Hakimu wa Wilaya ya Tabora Seraphina Nsana kwenye ukumbi wa mikutano uliopo Ofisi za Manispaa ya Tabora.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.