• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

WATAALAMU WA MANISPAA YA TABORA WAPATA MAFUNZO YA MWONGOZO WA MFUMO WA TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA (GIS) PAMOJA NA MPANGO KABAMBE WA HALMASHAURI

Posted on: July 10th, 2023

Na Alex Siriyako,

Wataalamu ambao ni Wakuu wa Vitengo na Sehemu katika Manispaa ya Tabora wamepata Mafunzo ya Mwongozo wa Mfumo wa Taarifa za Kijiografia (GIS) leo Julai 10, 2023 katika Ukumbi wa Manispaa ya Tabora.

Mafunzo haya yametolewa na Mtaalamu kutoka Ofisi ya Rais-(TAMISEMI) Ndugu George Joseph Miringay ambae ni Afisa Mipangomiji Mwandamizi akiwa ameambatana na Eng. Rashid S. Jellan kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora na ameeleza kuwa Mwongozo huu umeanza kutumika kuanzia Juni 2023.

GIS (Geographical Information System) ni mfumo wa taarifa za kijiografia ambazo hukusanywa kutoka kwenye Ramani za msingi na uwandani, huchakatwa na kuonyeshwa kwa kutumia Ramani za aina mbali mbali. 

Mfumo wa taarifa za kijiografia (GIS) unatumika katika shughuli mbalimbali za uhandisi, mipango, usimamizi wa ardhi, usafiri na usafirishaji, shughuli za kuhesabu watu na makazi au mifugo, mawasiliano ya simu, biashara na kadhalika.

Ndugu George ameongeza kuwa, umuhimu mkubwa sana wa Mfumu huu wa GIS ni pamoja na Kuhimiza na kuimarisha matumizi ya takwimu za kijiografia (spatial data) kutumika kikamilifu katika kusaidia utoaji sahihi wa maamuzi, lakini vilevile na kuendeleza matumizi ya GIS kupitia miradi iliyotangulia (TSCP, ULGSP, DMDP, TACTIC)

Ndugu George amefafanua zaidi kuwa, Mwongozo unalenga kuwezesha Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuweka msisitizo unaohitajika na mikakati ya kuhimiza matumizi ya GIS kwenye ofisi stahiki ili kuimarisha utoaji maamuzi sahihi na kwa haraka katika kutoa huduma kwa wananchi na kuendana na mabadiliko ya teknolojia.

Mwezeshaji wa mafunzo amefafanua kuwa Halmashauri itaweza kuendesha na kutekeleza mfumo kwa kufanya yafuatayo;

Kuunda Timu za GIS, kujenga uwezo wa vifaa na wataalam, kuanzisha kanzi data za GIS kwa kila Idara na Vitengo, kuweka mikakati ya miaka 3 ya kuimarisha GIS, kushirikisha wadau wote kwenye utekelezaji, ikiwemo sekta binafsi na kuingia nao ubia wa kubadilisha takwimu, Kutenga ofisi maalum kwa ajili ya shughuli za GIS, Kutenga fedha kwenye bajeti zao kwa ajili ya kazi za GIS, pamoja na kuwasilisha takwimu na taarifa ya utekelezaji wa kazi za GIS katika Menejimenti, Mkoa na Ofisi ya Rais TAMISEMI.

Kuhusu mpango kabambe (Master Plan) wa Halmashauri ya Manispaaya Tabora, mwezeshaji alisisitiza juu ya umuhimu wa uzingatiaji wa mpango kabambeuliopo katika uendelezaji wa ardhi unaofanyika ndani ya Manispaa na piaalishauri juu ya suala la elimu kuendelea kutolewa kwa wadau wote wanaohusikaatika utekelezaji wa mpango kabambe uliopo wa Mwaka 2015 – 2035.

Katika kuhitimisha mafunzo haya, mwezeshaji amesisitiza kuwakutakuwa na ufanisi katika utekelezaji wa Mfumo wa Taarifa za Kijografia (GIS) ikiwa kila mdau wa mfumo huu kuanzia TAMISEMI, MKOA, HALMASHAURI, KATA, MITAA,VIJIJI na WADAU WENGINE watashirikishwa na kushirikiana kwa kupeana taarifa zamsingi katika kila hatua ya utekelezaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.