• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

WARATIBU ELIMU KATA WASAINI MIKATABA YA MPANGO WA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UBORESHAJI NA USIMAMIZI WA ELIMU KWA MWAKA 2023

Posted on: January 20th, 2023

Na Alex Siriyako;

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Dkt. Peter Nyanja amewasainisha Mikataba ya Mpango wa utekelezaji wa shughuli za uboreshaji na usimamizi wa elimu kwa mwaka 2023. Tukio hili limefanyika leo tarehe 20 Januari, 2023 katika ukumbi wa Manispaa ya Tabora uliopo Makao makuu ya Halmashauri.

Mikataba hii kwa Waratibu Elimu Kata inafuatia maagizo ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI ambapo Maafisa Elimu ngazi ya Mkoa waliingia Mkataba na Wizara hiyo, mkataba unaowataka wapate matokeo chanya katika mitihani ya ngazi mbalimbali katika mikoa yao.

Vilevile Maafisa hawa wa ngazi ya Mkoa wanapaswa kuingia mikataba na Maafisa elimu ngazi ya wilaya kwaajili ya kupata matokeo hayo. Halikadhalika Wakurugenzi wa Halmashauri wameingia Mikataba hiyohiyo na Waratibu Elimu Kata ambao nao wameingia mikataba hiyo na Wakuu wa Shule na Walimu Wakuu wa Shule.

Wakuu wa Shule na Walimu Wakuu wa shule nao wataingia Mikataba hiyohiyo na Walimu wa masomo ambao ndio watekelezaji wa zoezi zima la ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi madarasani.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Dkt. Peter M. Nyanja amewasisitiza Waratibu wakafanye kazi na wahakikishe vigezo vyote 23 vya upimaji na utendaji kazi katika mkataba huo vinatiliwa mkazo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 03, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENEDELEO YA MANISPAA YA TABORA

    July 30, 2025
  • DC WELLA AWATUNUKU VYETI WALIMU WALIOFANYA VIZURI KITAIFA

    July 26, 2025
  • CHIFU FUNDIKIRA AONGOZA MAMIA YA WAKAZI WA TABORA KUMUOMBEA DUA RAIS SAMIA

    July 12, 2025
  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

KIONGOZI BORA NI YUPI? | MWL. JK NYERERE
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.