• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

WALIMU 1680 WA MANISPAA YA TABORA WAPATA VISHIKWAMBI

Posted on: January 24th, 2023

Na Alex Siriyako:

Walimu 1680 ambao ni jumla ya walimu wote wa shule za msingi na Sekondari katika Manispaa ya Tabora wamepata Vishikwambi ambavyo vimetolewa na Serikali kwa ajili ya kulahisisha zoezi la kufundishia na Ujifunzaji kwa Waalimu hao. Zoezi la kugawa Vishikwambi hivi limefanyika leo Januari 24, 2023 katika Shule ya Sekondari Kazima iliyopo Tabora Mjini.

Mhe. Ramadhani Kapela,ambae ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora akigawa Vishikwambi hivi kwa Walimu amewaasa wakavitunze, wavitumie kwa kazi halisi iliyokusudiwa na anaamini kwa mwaka huu wa masomo kutakuwa na matokeo chanya kwa mitihani inayokuja kwani Walimu hawatokuwa na uhaba wa Vitabu tena kwa maana Maktaba Mtandao kupitia Vishikwambi hivi inamaliza uhaba huo. Hivyo amewataka Walimu wakafanye kazi kwa weledi na jitihada Zaidi.

Aidha Mhe. Kapela ameongeza kuwa Serikali haitosita kumchulia hatua ikiwa ni pamoja na kulipa Kishikwambi, Mwalimu yeyote ambaye kwa uzembe wake ataharibu Kishikwambi hicho ama kukipoteza. Amesema sio kila Mwalimu ni mwaminifu sana na Serikali inatambua hilo, hivyo Manispaa kupitia Idara ya Elimu Sekondari na Msingi  itaweka utaratibu wa kuvifuatilia Vishikwambi hivyo na kuhakikisha kama viko salama na vinaendelea kutumika kwa matumizi yaliyokusudiwa na Serikali.

Nae Mwalimu Fortunata Muyaga ambae ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Uhuru ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mama Samia Suluhu Hassani kwa kuwapatia Walimu Vishikwambi hivyo kwaajili ya kuongeza ufanisi katika kazi nzima ya ufundishaji mashuleni na ameahidi kwa niaba ya Walimu wenzie kuvitunza Vishikwambi hivyo na kuleta matokeo chanya kwa sababu uhaba wa vitabu hautokuwepo tena na hata mfumo wa uandaaji wa vipindi na utunzaji wa taarifa umerahisishwa.

Katika Kuhitimisha zoezi hilo, Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Ndugu Sefu Salum Sefu amemshukuru Mstahiki Meya kwa kukubali wito wa kuja kugawa Vishikwambi hivi kwa Walimu. Lakini pia amemshukuru Rais Samia kwa jitihada zake kubwa za kuboresha Sekta ya Elimu Nchini mathalani ujenzi mkubwa wa miundombinu na upatikanaji wa Vishikwambi hivyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA September 25, 2023
  • Usafi wa Mazingira kwa Wananchi Wote, Jumamosi ya mwisho kila Mwezi March 23, 2017
  • TANGAZO KWA WANANCHI NA TAASISI WALIOOMBA VIWANJA KATIKA ENEO LA INALA - TULI August 17, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MIRADI SITA YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 2.5 IMEPATA BARAKA ZA VIONGOZI WAKIMBIZA MWENGE KITAIFA

    September 15, 2023
  • WATAALMU WA MANISPAA YA TABORA WASAINISHWA MIKATABA YA KUKUSANYA MAPATO

    July 10, 2023
  • WATAALAMU WA MANISPAA YA TABORA WAPATA MAFUNZO YA MWONGOZO WA MFUMO WA TAARIFA ZA KIJIOGRAFIA (GIS) PAMOJA NA MPANGO KABAMBE WA HALMASHAURI

    July 10, 2023
  • NAIBU WAZIRI, WIZARA YA SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO AWAPONGEZA TABORA KWA MAANDALIZI MAZURI YA MICHEZO YA UMITASHUMITA NA UMISSETA

    June 15, 2023
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Manispaa Tabora, 4 Barabara ya Kiwanja cha Ndege

    Anwani ya Posta: S.L.P 174, 45182 Tabora

    Simu ya Ofisi: +255 262606088

    Simu ya Mkononi: +255

    Barua Pepe: md@taboramc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.