• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

WAENDESHA BODABODA NA BAJAJI WACHANGIA CHUPA 38 ZA DAMU MAJERUHI WA AJALI YA MOTO MOROGORO

Posted on: August 16th, 2019

Vijana waendesha bajaji na bodaboda katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora wamefanya maandamano ya AMANI na kujitolea jumla ya chupa 38 za damu ili kuokoa maisha ya majeruhi wa ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro.

Akiongea Mwenyekiti wa Chama Cha Waendesha Bajaji Manispaa Bw Said  Maganga alisema kuwa wamejitolea kiasi hicho cha damu ili kusaidia majeruhi waotekwenye ajali hiyo ambao wamelazwa hospitalini.

‘Tumeguswa sana, sana na tukio hilo hasa ikizingatia kwamba miongoni mwa majeruhi na waliopoteza maisha ni vijana wenzetu waliokuwa
wanaotoa huduma ya usafiri wa bajaji na bodaboda katika eneo hilo laMsamvu, Mkoani Morogoro’ alisema Maganga.

Aidha Maganga alisema kuwa msiba huo ni wa Kitaifa kwani baadhi ya majeruhi na wale waliopoteza maisha walienda pale kwa ajili ya kutoa msaada kwa
wenzao lakini kwa bahati mbaya nao wakaunguzwa na moto huo.

‘Tunaomba Mwenyezi Mungu aziweke mahali pema peponi roho za marehemu wote na wale wote waliojeruhiwa awafanyie wepesi wapone kwa haraka…’ Maganga alisema.

Akizungumza baada ya kupokea maandamano hayo Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri alisema kuwa ajali za barabarani zinaepukika, hivyo akawataka waendesha bajaji na bodaboda kuwa makini wanapokuwa barabarani na vyombo vya moto.

Aliwahusia waendesha vyombo vya moto na jamii wote kwa ujumla wanayo fursa kubwa ya kulinda maisha yao kama kila mmoja atakuwa makini barabarani na kufuata sheria za usalama barabarani.

Pamoja na yote hayo lakini pia alionya tabia ya baadhi ya madereva wa vyombo vya moto ikiwemo waendesha bajaji na bodaboda kuongea na simu wakati wanaendesha hivyo akawataka kuacha mara moja tabia hiyo.

Nae Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akitoa salamu za Kitaifa wakati akiwa kwenye ziara mkoani Tabora alisema kuwa, alisema kuwa anawapongeza sana vijana wote walioguswa na tukio hilo na kwa moyo wao wa uzalendo na kuwaunga mkono kwa kuchangia damu.

Aliwataka wanajamii wote kujiwekea utamaduni wa kukwepa majanga ya moto na kutoshabikia mambo yoyote yanayoweza kuhatarisha maisha yao, aidha
aliwataka Jeshi la Polisi na Zimamoto kuendelea kutoa elimu ya kujikinga na majanga ya moto kwa jamii wakati wote ili wananchi wapate uelewa wa namna ya kujikinga.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.