• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

WABUNGE WATAKA STENDI YA TABORA IJENGEWE HARAKA VIBANDA VYA ABIRIA

Posted on: March 22nd, 2018


KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa imeiagiza Halamshauri ya Manispaa ya Tabora kuhakikisha ndani ya mwezi huu wanajenga vibanda katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendeyo mikoani kwaajili ya abiria kupumzikia wakati wakisubiri usafiri.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya  Bunge ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa Jasson Rweikiza wakati wa ziara ya Wajumbe wa Kamati hiyo walipotembelea vyanzo  mbalimbali ilikujionea hali ya ukusanyaji wa mapato ya Serikali.

Alisema hali iliyopo sasa sio nzuri na inawasababishia adha wasafiri na kuongeza kuwa vibanda hivyo vitasaidiakuwaondolea wasafiri adha ya kupigwa jua na kunyeshewa mvua wakati wanawasilikutoka maeneo mbalimbali au wakati wakisubiri usafiri.

“Ndugu zangu mumeona hata sisi imebiditutafute mti ndio kufanyie kikao chetu hiki…ni lazima mjenge sehemu ya abiria kukaa na kujikinga kama wakati wa mvua au jua kali…msiwaache wasafiri waendeleekuteseka” alisema Mwenyekiti huyo.

Aidha Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa ni vema Halmashauri iongeze nguvu katika ukusanyaji wa mapato kutokana na vyanzo mbalimbali vilivyopo katika Stendi hiyo.

Kwa upande wa Mbunge wa Jimbo la Rombo Joseph Selasini aliutaka uongozi wa Stendi hiyo kuhakikisha Mawakala wa Mabasi hawawabughuzi wasafiri wanaohitaji kusafiri .

Naye Naibu Waziri wa Nchi Ofisi yaRais TAMISEMI, Josephat Kandege aliitaka Halmashauri ya Manispaa hiyo kuhakikisha wanasimamia vizuri ukusanyaji wa mapato katika huduma mbalimbali ikiwemo vyoo ambapo alisema mapato ya shilingi 700,000/- kwa wiki kwa huduma ya choo ni kidogo ukilinganisha na idadi ya watu wanaotumia stendi ya Tabora.

Aliwataka watendaji kujifunza kutoka Halmashauri ya Mji Nzega ambayo imekuwa ikifanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato katika huduma ya choo katika stendi yao.



Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.