• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

UFUNGUZI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA USHIRIKA DUNIANI YAFANYIKA TABORA

Posted on: June 28th, 2022

Ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani yamefanyika leo katika viwanja vya Fatuma Mwasa (nane-nane) vilivyopo Kata ya Ipuli, Manispaa ya Tabora Mkoani Tabora ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Anthony Mavunde (MB).

Akizungumza katika maadhimisho hayo, Mhe Mavunde alisema kwamba Ushirika ni nyenzo muhimu sana kwa muktadah wa wana ushirika wenyewe, jamii na Taifa kwa ujumla. Kwakuwa ushirika una tija kubwa sana kwani kwa mwaka ujao wa fedha 2022/2023 Serikali imejipanga Zaidi kuimarisha Kilimo kwa kuanza na kutoa pembejeo zote ikiwamo mbolea, mbegu nk.

Ambapo kufikia mwaka 2030 Sekta ya kilimo itakuwa imekua kwa asilimia kumi na hayo ndiyo maelekezo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama yetu Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Mavunde aliwaeleza wana ushirika kuwa Serikali kwa mwaka wa fedha ujao imeongeza bajeti yake kutoka Tzs Bilioni 294 hadi 954, kwenye umwagiliaji imeongeza kutoaka Bilioni 46 hadi 361 ambapo itaimarisha Zaidi mabonde 22 yakiwamo Manonga, Pangani, Maragalasi, nk. Yote hayo yatafikiwa.

Yote hayo yanafanyika ili kuwaondelea wakulima dhana ya kilimo cha kutegemea mvua za msimu pekee na badala yake wawe na kilimo endelevu wakati wote ambapo sasa Serikali itajenga mabwawa 12, Skimu za Umwagiliaji 48 zitakarabatiwa kwa mwaka 2022/2023.

“Tunamtaka mkulima wa Tanzania kuacha kutegemea kilimo cha mvua za msimu na badala yake aanze kuwa analima wakati wote, kwa kufanya hivyo kutaweza kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja, vikundi, kupunguza umasikini na kuongeza ajira kwa Taifa,” alisisitiza Mhe. Mavunde.

Aidha Mhe. Mavunde amesema kuwa Serikali inatarajia kuanza kugawa mashamba kwa vijana ikiwa ni sehemu ya kuongeza ajira ambapo mashamba hayo yatafyekwa, kuandaliwa nan a kukabidhiwa kwa vijana hao ambapo pia watapatiwa pembejeo zote muhimu na vitendea kazi, na kwa kuanzia wataanza na Mkoa wa Dodoma kwa majaribio ambapo kutakuwa na Hekari 20.

Akimkaribisha Mgeni Rasmi, Mkuu wa Wilaya ya Tabora ambaye alimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Yahaya Esmail Nawanda, alimueleza mgeni rasmi pamoja na wananchi waliokuwa wamehudhuria hafla hiyo kuwa, Mkoa wa Tabora unayo furaha kubwa sana kuteuliwa kuandaa maadhimisho hayo ya Siku ya Ushirika Duniani, na kwamba unamshukura sana Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na yeye Naibu Waziri kwa kuitia ombi la kufika na kufungua maonesho hayo.

Mhe. Nawanda alimueleza kuwa kwa Mkoa wa Tabora wamefanikiwa kurjesha Chama Cha Ushirika Manonga kilichopo Wilaya ya Igunga tangu tarehe 13/6/2022 ambacho sasa kitarejesha tena uzalishaji wa Pamba eneo hilo, jambo ambalo lilikuwa likiwezesha kuongeza jaira kubwa na kukuza uchumi pia.

N kwamba Mkoa wa Tabora unatambua na kuthamini sana mchango mkubwa wa Ushirika katika maeneo yote, kwakuwa imekuwa msaada mkubwa sana kwa wananchi na Taifa kwa ujumla, huku akiwataka wananchi wa Mkoa wa Tabora kwenda kutembelea maonesho hayo na kujifunza vitu vingi Zaidi vinavyofanyika katika viwanja hivyo.

Maonesho hayo ya Siku ya Ushirika Duniani yamefunguliwa rasmi kuanzia tarehe 28/6/2022 na yanatarajiwa kufungwa rasmi tarehe 2/7/2022. Ambapo kwa mwaka huu maonesho yaliongzwa  na Kauli Mbiu; USHIRIKA HUJENGA ULIMWENGU BORA.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.