• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

TABORA NIWAKAZI WA WILAYA YA TABORA WAKUMBUSHWA THAMANI YAO KATIKA KUIPATIA UHURU TANZANIA BARA

Posted on: December 9th, 2022

Na. Paul Kasembo.

Wakazi wa Wilaya ya Tabora wamekumbushwa kutambua na kuthamini thamani yao kubwa waliyonayo juu ya harakati za kuiletea Uhuru Tanzania kuwa uhuru wa Tanganyika uliasisiwa Mkoani Tabora kufuatia kura Tatu za Uwamuzi wa Busara kuhusu kupatikana kwa Uhuru wa Nchi zilizopigwa zikiratibiwa na hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere ambapo wanatakiwa kuuthamini na kuupa hadhi inayostahili ikiwa na wao wenyewe kujithamini kwakuwa wanamchango mkubwa.

Hayo yalibainika katika maadhimisho ya kumbukumbu ya Miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika Kimkoa yaliyofanyika katika uwanja wa Chipukizi ambapo jamii ilihimizwa kutambua kuwa Uhuru sio wa Tanzania bali ni wa Tanganyika.

Akitoa hutuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa waTabora Balozi Dk. Batrida Burian, Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Louis Bura alisema kuwa Mkoa huo ndiyo chimbuko la Uhuru wa Tanganyika na kwamba Mkoa huo umeasisi mambo mengi makubwa katika Nchi hii ikiwa katika Sekta ya Elimu, Afya, Miundombinu, Uwezashejai wananchi kiuchumi ambapo kuna asilimia 10 za wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu, KIlimo, uwekezaji na kuwa Nchi ya Viwanda.

“Unajua kuna watu wanajua ni Uhuru wa Tanzania Bara, hapana ni wa Tanganyika na ulipatikana hapa mjini Tabora Mkoani huu wa Tabora na baada ya kufanyika Uamauzi wa Busara kwa kupigwa Kura Tatu kuamua kujipatia Uhuru wetu chini ya Baba yetu wa Taifa hayati Mwl. Nyerere,” alisema Mhe. Bura.

Ukitazama Katika mwaka 2021/2022 mbegu zilizosambazwa ni asilimia 14.7, maji yamesambazwa asilimia 75 Mijini na asilimia 57.9 Vijijini na mapato ya ndani tulipata Zaidi ya Tzs Bilioni 5.8 yote hayo ni matunda ya uhuru, kwa kifupi Wilaya Tabora imetoa vingozi wenye wadhifa mkubwa sana hapa akiwemo Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius K. Nyerere.

Alisema kuwa kulikuwa na changamoto katika Sekta ya barabara, maji, nishati na nyingine ambazo Serikali imezifanyia kazi ili kuzimaliza nakuhakikisha maendeleo ya uhakika yanapatikana ili kazi ya kuwahudumia wanachi iendelee daima.

Awali Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Dr. Peter Maiga Nyanja alitoa taarifa kuwa katika maadhimisho hayo mapema asubuhi walipanda miche ya miti 8,000 kati yake 3,000 waliipanda Brigedia ya Tabora na 5,000 katika maeneo mengine ya Mjini na katika Taasisi mbalimbali.

Dk.Nyanja alisema kuwa walikwenda kutoa huduma ya matendo ya huruma katika kambi ya wazee kwenye Kata ya Mpela, kituo cha kulelea watu wasiojiweza cha Charitas kilichopo Jimbo Kuu Katoriki, usafi katika Hospitali ya Rufaa Kitete na kuwapatia pesa taslimu ikiwa ni gharama ya Zaidi ya pesa taslimu jumla Tsh. milioni 5.

Pamoja na yote hayo, pia maadhimisho yalipambwa na michezo mbalimbali ikiwamo riadfha, kongamano nk.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.