• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

RC MWANRI AAGIZA KUKOMESHWA KABISA KWA UKATILI WA KIJINSIA

Posted on: November 29th, 2019

Mkuu wa  Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameagiza kukomeshwa kabisa kwa ukatili wa kijinsia ili kuifanya jamii yote kuishi kwa amani bila kuhofia chochote, na watakaobaimika kufanya hivyo wachukuliwe hatua kali dhidi yao.

Hayo yamesemwa leo kwenye maazimisho ya siku ya kwanza kwenye kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yaliyofanyika kwenye viwanja vya Chipukizi vilivyopo Manispaa ya Tabora.

‘’Naaigiza kukomeshwa kabisa kwa ukatili wowote wa kijinsia na kwamba atakaebainika kufanya jambo hilo na kwamba kwa pamoja tukatae mila yoyote potofu itayopelekea ukatili wa kijinsia hasa kwa akina mama na watoto basi achukuliwe hatua kali, na ifike wakati wote tukatae, haiwezekani na kwa pamoja tuseme NO WAY’’, alisema Mwanri.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu aliweka bayana kwamba makundi yanayo athirika zaidi wa vitendo hivyo vya ukatili ni ya wanawake na watoto. Na kwamba upo ukatili wa aina nyingi lakini ukatili wa kimwili kama vile ubakaji, shambulio la kupigwa na mwingine wenye sura kama hiyo huathiri zaidi na hushusha heshima na hadhi ya mtu anaefanyiwa ukatili huo.

Awali akisoma lisara mbele ya mgeni rasmi Mkuu wa Dawati la Jinsia Wilaya ya Tabora Mkaguzi wa Polisi  Grace Kaijage, alisema kuwa Dawati la Jinsia wamekuwa wakifanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na idara mbali mbali za Serikali kama vile Idara ya Utawi wa Jamii, Kamati za Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wananwake na Watoto, Mahakama pamoja na viongozi mbali mbali kwenye Serikali za Mitaa.

 Hawa wote wamekuwa wakitoa elimu mbali mbali kwa wananchi za namna bora ya kutoa taarifa za unyanyasaji pindi zinapotokea kwenye maeneo yao wanayoishi.

 Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ni kampeni iliyanza tangu mwaka 1991 ikiwa na lengo la kutokomeza aina zote dhidi ya ukatili wa kijinsia, na kwa mwaka huu yalikuwa na kauli mbiu isemayo kwamba KIZAZI CHENYE USAWA SIMAMA DHIDI YA UBAKAJI

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.