• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

RC. Dkt BATILDA AWAAGIZA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI ZOTE MKOA WA TABORA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA SEKTA YA ARDHI

Posted on: March 6th, 2024

Na Alex Siriyako:

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt.Batilda Buriani amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Tabora kutenga fedha kwaajili ya Sekta ya ardhi katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025.

Dkt. Batilda ametoa maagizo haya leo Machi 6,2024 katika ukumbu wa Chuo cha Uhadhili ambapo alikuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa Wadau kujadili utekelezaji mradi wa uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi unaoenda kwa kauli mbiu isemayo Usawa wa Kijinsia katika Umiliki wa Ardhi kwa Ustawi wa Jamii.

Dkt. Batilda amesisitiza kuwa bajeti hiyo itakayotengwa ni kwaajili ya kuendeleza maeneo yote ambayo hayataguswa na mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) katika Halmashauri hizo za Mkoa wa Tabora.

Mradi wa LTIP ni mradi ambao unatekelezwa na Serikali chini ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa ufadhili wa Benki ya Dunia. Malengo mahsusi ya mradi huu ni mwendelezo wa kuhakikisha Wananchi wa mjini na vijijini wanakuwa na umiliki rasmi wa ardhi yao hasa iliyopimwa kitaalamu.

Kwa Mkoa wa Tabora mradi huu utatekelezwa katika Halmashauri za Kaliua, Sikonge, Uyui, Urambo, Nzega Mjini, Nzega Vijijini na Manispaa ya Tabora.

Kwa upande wake Mratibu wa Mradi wa LTIP Bw.Joseph Shewiyo amesema mradi huo unalenga kupanga matumizi bora ya ardhi kwa maendeleo ya vijiji na miji, kuhamasisha umiliki wa ardhi kwa pamoja, kuzingatia haki za makundi maalumu katika umiliki wa ardhi pamoja na usawa wa kijinsia katika umiliki wa ardhi.

 Bwana Shewiyo ameongeza kuwa hadi sasa mradi huu umeongeza idadi ya wanawake wanaomiliki ardhi kutoka asilimia 25 hadi 38, hali inayosaidia kufikia azima ya Serikali ya kuwaletea Wananchi usawa wa kijinsia katika umiliki wa ardhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 30, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA ZA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 July 03, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AKOSHWA NA UBORA WA MIRADI YA MAENEDELEO YA MANISPAA YA TABORA

    July 30, 2025
  • DC WELLA AWATUNUKU VYETI WALIMU WALIOFANYA VIZURI KITAIFA

    July 26, 2025
  • CHIFU FUNDIKIRA AONGOZA MAMIA YA WAKAZI WA TABORA KUMUOMBEA DUA RAIS SAMIA

    July 12, 2025
  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

KIONGOZI BORA NI YUPI? | MWL. JK NYERERE
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.