• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

NAIBU WAZIRI, WIZARA YA SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO AWAPONGEZA TABORA KWA MAANDALIZI MAZURI YA MICHEZO YA UMITASHUMITA NA UMISSETA

Posted on: June 15th, 2023

Na Alex Siriyako:

Naibu Waziri wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamisi Mohamed Mwinjuma ameupongeza Mkoa wa Tabora kwa maandalizi mazuri ya michuano ya UMITASHUMITA na UMISSETA Kitaifa kwa awamu ya pili mfululizo.

Mhe. Mwinjuma amesema kuwa Tabora inastahili pongezi kwani imefanya vyema sana katika maandalizi ya michezo hii latika sekta zote.

Mhe. Naibu Waziri ametoa pongezi hizi leo akifungua rasmi michuano ya UMISSETA Kitaifa inayoendelea katika Viwanja vya Tabora Boys na Tabora Girls, Mkoani hapa leo Juni 15, 2023.

Aidha Mhe. Mwinjuma amemshukuru Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jitihada zake kubwa sana za kukuza sekta ya michezo Nchini, jitihada ambazo anazionesha kwa vitendo mathalani zawadi ambazo amezitoa kwa vilabu vya Simba na Yanga katika michuano ya Kimataifa.

Mhe. Naibu Waziri ameendelea kufafanua kuwa msingi wa mashindano haya ni kuibua vipaji na kuviendeleza katika viwango vikubwa vya Kitaifa na Kimataifa.

Mhe. Naibu Waziri ameeleza pia kuwa Serikali ya awamu ya sita katika kuendeleza michezo Nchini imeanza ukarabati wa miundombinu ya mochezo katika shule 56 kutoka mikoa yote Nchini ambapo takribani shule mbili kila Mkoa zitapata fursa hii.

Katika kuhitimisha hotuba yake, Mhe. Mwinjuma ameeleza kuwa Sanaa ni chombo pekee cha kutunza utamaduni wetu, Sanaa inaleta kipato kwa mtu binafsi, jamii na Taifa kwa ujumla, lakini pia Sanaa hutumika kutangaza kampeni mbalimnali za Kitaifa na Kimataifa.

Pamoja na kufungua mashindano haya, Mhe.Mwinjuma amepata fursa ya kukagua ubora wa viwanja vinavyotumika katika michuano hii.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.