• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MWENGE WA UHURU 2022 WAZINDUA NA KUWEKA MAWE YA MSINGI KATIKA MIRADI MINNE KATIKA WILAYA YA TABORA YENYE THAMANI YA TZS 3,037,314,970/=

Posted on: August 4th, 2022

Mwenge wa Uhuru 2022 umezindua Miradi ya Maendeleo miwili ya ujenzi wa Daraja la Upinde wa Mawe lenye urefu wa KM 16.4 lililopo Kjiji cha Kazima, Kata ya Ifucha na ujenzi wa madarasa mawili katika Shule ya Sekomdari Kazima iliyopo mtaa wa Boma, kisha kuweka mawe mawili ya msingi katika miradi ya Tabora Polytechnic College kilichopo Kijiji cha Tuli, Kata ya Ifucha pamoja na Kituo cha Afya Misha kilichopo Kata ya Misha vyote vikiwa na thamani ya Tzs 3,037,314,970/=.

Akihitimisha mbio hizo za Mwenge wa Uhuru 2022 Ndg Sahili Nyanzabara Geraruma aliwapongeza viongozi wa Wilaya ya Tabora kwa ushirikiano wao katika kutekeleza miradi ya maendeleo, huku akiwataka kuacha tabia za kutegeana katika utekelezaji wa majukumu hasa kwa upande wa wataalamu wa Manispaa.

Ndugu Geraruma aliwasisitiza viongozi wote pamoja na wataalamu kwenda kuzyatekeleza yale yote yaliyoshauriwa na wakimbiza mwenge kitaifa ili yakawe yenye tija kubwa kwa wananchi wa Wilaya ya Tabora na wananchi wote kwa ujumla kwani miradi hiyo yote inatekelezwa kwa ajili yao.

Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Tabora MHe. Paulo Matiko Chacha aliwashukuru sana wakimbiza Mwenge kitaifa huku akiwaahidi kuwa uongozi wa Wilaya ya Tabora utayafanyia kazi yale yote yaliyoelekekzwa na wakimbiza mwenge kitaifa na kuahidi kuyasimamia maelekezo yote kwa watumishi wote waliotajwa kwenye mbio hizo za mwenge kwenda kuanza Maisha mapya ya utumishi kwa kufuata ushauri uliotolewa

Mwenge wa Uhuru 2022 uliokuwa na ujumbe mkuu usemao ”SENSA NI MSINGI WA MIPANGO, SHIRIKI KUHESABIWA TUYAFIKIE MALENGO YA TAIFA” ulikimbizwa KM 76 ndani ya Manispaa ya Tabora na KM 20 kutoka Tabora Njini mpaka Kijiji cha Ilolangulu kilichopo Wilaya ya Uyui.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.