• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI KIFUA KIKUU NA UKOMA WADHAMIRIA KUZIFIKIA KATA ZOTE TABORA MANISPAA

Posted on: December 18th, 2020

Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma Tanzania umedhamiria kuzifikia Kata zote za Tabora Manispaa ikiwa ni sehemu ya majaribio (pilot area) kwa Halmashauri zote za Tabora Manispaa.

Hayo yamesemwa leo kwenye kikao na Muwezeshaji kutoka MKUTA TAIFA Bi Rachael alipokutana na Kaimu Mkurugrnzi Tabora Manispaa pamoja na Kamati ya MKUTA Tabora Manispaa kwenye ukumbi wa mikutano Tabora Manispaa.

Bi Rchael akisema kuwa mpaka sasa MKUTA imefanikiwa kupunguza sana ongezeko la wagonjwa wa Kifua Kikuu kwa kuwa kumekuwa na juhudi kubwa ya Serikali kwenye kupambana na ugonjwa huu hatari ambao huenezwa kwa njia ya hewa na mdudu aitwae  Mycobacterium tuberculosis complex.

Ugunduzi wa ugonjwa huu huweza kupatikana kwa kufanya vipimo vya makohozi kwa wale walio na kikohozi au sampuli nyingine kulingana nadalili za mgonjwa mwenyewe, ambapo maambukizi yanakadiriwa kuwa chiniya mtu mmoja hadi wane  (1-4)  wanaweza kuambukizwa na mtu mmoja mwenye TB.

‘’Serikali imeweza kupunguza kwa kiwango kikubwa ugonjwa huu kwa kuwa imewekeza juhudi kubwa kwenye utoaji wa Elimu kwa Umma kupitia vyombo vya habari, vilabu maalumu vilivyoundwa ambavyo huwafikia wananchi kwa makundi mbalimbali na kuwapa elimu juu ya uwepo wa ugonjwa huu hatari na namna bora ya kujikinga nao,’’ alisema Bi Rachael.

Awali akifungua Kikao hicho Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya MKUTA Tabora Manispaa ambaye ni Diwani Kata ya Tambukareli Mhe. Zinduna Kisamba aliwashukuru sana MKUTA pamoja na wafadhiri wote wanaowezesha kupamabana na ugonjwa huo hatari wa Kifua Kikuu.

‘’Kwa mujibu wa takwimu zilizosomwa hapa zinaonesha kupungua idadi ya wagonjwa kwa nchi nzima na Manispaa kwa ujumla, na kwakuwa kuna  mpango huu mpya mliokuja nao wakuwafikia wananchi kwenye ngazi zote mpaka kitongoji, sasa niwaagize Watendaji wa Kata, Mitaa na Vijiji wote kuifanya ajenda hii ya kudhibiti kifua kikuu kuwa ni ajenda ya kudumu kwenye vikao vyote na mikutano kwa ngazi zote mpaka vitongoji,’’ alisema Mhe. Zinduna.

Aidha wajumbe waliitoa ushauri kwa Serikali kwamba kuwepo na Elimu Zaidi hasa kwa wananchi wanaoishi vijijini kwakuwa ndiyo hasa kundi ambalo halipati taarifa kwa wakti, na kwamba kuwepo na muendelezo wa utoaji elimu kwenye kila mkusanyiko hataifike wakati kuwepo na bandas maalumukila maonesho yanayojumuisha wananchi ili kuweza kuifikisah elimu kwa walio wengi Zaidi.

Ushauri mwingine uliotolewa ulikuwa ni kuwepo kwa juhudi za makusudi za kuongeza bajeti kwa ili elimu iweze kutolewa kwa wananchi na iweze kuwafikia wengi Zaidi  kwa sababu imefika wakati hata Watoto wadogo nao wanaugua kifua kikuu, na kwamba waitumie pia Ofisi ya Afisa Habari Manispaa ya Tabora ili nayo iweze kusaidia namna bora ya kufikisha elimu hiyo kwa wananchi walio wengi Zaidi.

Serikali imepanga kwamba kufikia mwaka 2030 iwe imetokomeza kabisa ugonjwa wa kifua kikuu, ambapo kwa Tabora Manispaa baadhi ya wagonjwa walibainika kwenye Kata za Ikomwa, Tambukareli na Cheyo.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.