• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MANISPAA YA TABORA YAZINDUA KAMPENI YA MWEZI WA AFYA NA LISHE YA WATOTO

Posted on: December 7th, 2022


Na Paul Kasembo – TMC

 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora leo tarehe 7 Disemba, 2022 imezindua rasmi kampeni ya mwezi wa Afya na Lishe ya watoto katika Zahanati ya Ng`ambo iliyopo Kata ya Kidongochekundu. 

Akitoa hotuba ya Mgeni Rasmi, Muwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora alisema kwamba, kampeni ya Afya na Lishe kwa watoto hufanyika mara mbili tu kwa mwaka yaani mwezi wa 6 na mwezi wa 12 kwa mwaka husika 

“Hivyo basi Manispaa ya Tabora kwa kipindi cha mwezi wa 12 imeamua kuzindua hapa katika Zahanati ya Ng`ambo ambapo watoto wenye umri wa miezi 6 – 59 watapewa matone ya Vitamin A, watoto wa umri wa miezi 12 – 39 watapewa dawa za minyoo ya tumbo na watoto wa miezi 12 – 59 watapimwa hali zao za Lishe kwa kutumia MUAC Tape, alisema Jonas Kilave”

Kama lilivyo agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa kila Mkoa, Wilaya, Tarafa, Kata, Mitaa na Vijiji kuhakikisha kwamba wanashiriki kikamilifu katika kusimamia na kutekeleza Afua zote za Lishe kwa ajili ya Kuondoa Utapiamlo kwa watoto wote

Jonas Kilave aliwataka Watendaji wa Kata, Mitaa na Vijiji wote kuendelea kuhamasisha wananchi wote ili waweze kuwapeleka watoto wote walio chini ya umri wa miaka mitano wapatiwe matone ya Vitamini A, dawa za minyoo na kupima hali za Lishe katika vituo vyote vya kutolea huduma za Afya. 

“Aidha niwahimize Waganga Wafawidhi wote katika Manispaa ya Tabora kuhakikisha wanafikia malengo ya kuwafikia watoto wote na kuwapatia huduma hiyo muhimu Jonas Kilave alisema” 

Manispaa ya Tabora inaendelea na utekelezaji wa maelekezo ya Serikali kuhakikisha kuwa 

“Kukuwa kwa watoto wakiwa timamu ki mwili na kiakili ni jukumu la watu wote na msingi mkuu wa kukua vizuri kimwili na kiakili ni LISHE BORA” 


MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.