• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MANISPAA YA TABORA YATOA MIKOPO YA FEDHA KIASI CHA MILIONI 437,300,000/= KWA VIKUNDI VYA VIJANA , KINA MAMA NA NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: February 14th, 2023

Na Alex Siriyako:

Hafla ya kukabidhi fedha hizi imeshuhudiwa na Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe.Louis P. Bura ambae amekabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya mia nne thelathini na saba milioni na laki tatu (437,300,000/=) kwa vikundi arobaini na nne (44) ,ambapo vikundi 18 ni wanawake ambao wamepata 159,000,000/=, vikundi 16 ni Vijana  na wamepata 260,000,000/=, na vikundi 10 vya watu wenye ulemavu ambao nao wamepata 18,300,000/=. Hafla ya kukabidhi mikopo hii imefanyika katika ukumbi wa White Sand uliopo Kata ya Chemchem karibu na Soko Kuu leo Machi 14, 2023.

Aidha kabla ya kuwakabidhi mfano wa hundi hiyo yenye thamani ya pesa tajwa hapo juu, Mhe. Bura aliwausia wanufaika hawa wa mikopo kuwa waadilifu sana na Mikopo hii. Mhe. Bura amewaeleza kuwa mikopo hii sio zawadi kwao na kuongeza kuwa ni sharti irejeshwe kwa utaratibu uliowekwa ili na Watanzania wengine wapate fursa ya kukopa mikopo hii isiyo na riba kabisa kwani uhitaji ni mkubwa sana.

Vilevile Mhe. Bura amewapa nasaha kina mama kuwa wawe na busara kwenye ndoa zao kwani wengine wamekuwa jeuri kwa waume zao hasa baada ya kujiimarisha kiuchumi, amewasihi sana watumie akili na busara nyingi sana kulinda ndoa zao na kuongeza kuwa mikopo ipo kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa familia zetu.

Aidha Mhe. Amrani Kasongo ambae ni Diwani wa Kata ya Chemchem , Manispaa ya Tabora ametoa nasaha zake baada ya kupata wasaa wa kuwasalimia wanufaika. Mhe. Kasongo amewasihi wanufaika wakaishi maisha ya mkopo na sio maisha ya kama fedha ni za kwao. Mhe. Kasongo ameongeza kuwa kinachowatesa wakopaji wengi hata kwene taasisi zingine za kifedha ni kuanza matumizi ambayo sio sahihi ya fedha za mkopo ,hivyo baada ya hapo huanza kuhangaika kwenye marejesho.

Katika kuhitimisha hotuba yake fupi kwa wanufaika hawa, Mhe. Bura amemshukuru sana Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha nyingi sana za miradi ya maendeleo kwa Manispaa ya Tabora na Wilaya ya Tabora kwa ujumla wake.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2022 January 29, 2023
  • TANGAZO LA UUZAJI WA VIWANJA KATIKA ENEO LA TULI KATA YA IFUCHA - INALA July 25, 2022
  • TANGAZO KWA WANANCHI NA TAASISI WALIOOMBA VIWANJA KATIKA ENEO LA INALA - TULI August 17, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 - HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI LAMPONGEZA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA FEDHA ZA MRADI WA BOOST

    May 12, 2023
  • KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA IMEIPONGEZA MENEJIMENTI YA MANISPAA YA TABORA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 03, 2023
  • RC TABORA DKT. BATILDA BURIAN AWATAKA WATANZANIA KUUENZI MUUNGANO KWA KUIMARISHA ZAIDI MAHUSIANO YA KIFAMILIA KATI YA WAZAZIBARI NA WATANGANYIKA

    April 26, 2023
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA LAAC YAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UJENZI WA MIRADI MIZURI NA UTOAJI WA MIKOPO YA 10% YENYE TIJA

    March 17, 2023
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.