• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MAFUNZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI (NaPA) YAFANYIKA

Posted on: March 30th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Tabora ,Dkt.Yahaya Nawanda amewataka Wataalamu wanaopata mafunzo ya kukusanya na kuweka taarifa za Anwani na Makazi kwenye Mfumo, wawe na heshima kwa Wakazi ikiwa sambamba na kuwasikiliza Wenyeviti wa Mitaa na Watendaji wa Serikali, kwani woa ndio wenyeji wao na wanawafahamu vizuri wakazi wao na maeneo yao kwa ujumla.

Aidha Dkt.Nawanda amemshukuru sana Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan,  pamoja na fedha zingine za maendeleo ambazo ameshaipatia Wilaya ya Tabora, pia ameipatia Wilaya yetu fedha  kiasi cha Tsh. 170,808,378.75 kwa ajili ya Operesheni ya Anwani za Makazi na Postikodi.

Dkt.Nawanda aliwasihi Vijana wakawe waadilifu na wafanye kazi kwa weledi mkubwa sana kwani maendeleo ya Tabora ni ya kwao na ndio maana Mh.Raisi wa Jamhuri ya Muungano aliagiza fursa hizi za ajira ziende kwa wenyeji,alikusudia wenyeji wanufaike na Mradi na pia wawe walinzi wakubwa wa miundombinu ya  Mradi huu.

Ujumbe huu wa Mkuu wa Wilaya kwa Wanasemina ulitanguliwa na taarifa kutoka kwa Mratibu wa Operesheni ya Anwani na Makazi kwa Manispaa ya Tabora,Bi.Suzana P. Mizengo, ambae alitoa taarifa ya utekelezaji wa Opereshini hii mpaka sasa.

Bi.Suzana ameeleza kuwa mpaka sasa kazi kubwa ya kuelimisha UMMA imefanyika kwa kutumia njia mbalimbali zikiwemo Semina, Vyombo vya Habari pamoja na Vikao mbalimbali vya Halmashauri. Vilevile Mratibu ameeleza kwamba mpaka sasa Manispaa imefanya usaili kwa makundi matatu ya watu wanaohusika na utekelezaji wa zoezi hili(Waandikaji wa namba za nyumba,Wachoraji wa Vibao vya Majina ya Barabara pamoja na wakusanya taarifa za Mfumo wa Anwani za Makazi) ,Aidha Mratibu ameeleza kwamba mpaka sasa idadi ya nyumba/Majengo/viwanja  87,843 zimeainishwa na kupewa namba katika kata 29 za Manispaa ya Tabora.

Takribani watu 500 wamepata mafunzo ya Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi (NaPA) ,Wakiwemo Watendaji wa Kata,Watendaji wa Mitaa na Vijiji, Pamoja na Wakusanya taarifa walioshinda kwenye zoezi la usaili.

 

HABARI PICHA

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MUDA ZA MAKARANI NA WASIMAMIZI WA SENSA 20222 May 06, 2022
  • Usafi wa Mazingira kwa Wananchi Wote, Jumamosi ya mwisho kila Mwezi March 23, 2017
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA NNE 2021 January 15, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AFUNGUA RASMI BARABARA YA NYAHUA-CHAYA

    May 17, 2022
  • MAFUNZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI (NaPA) YAFANYIKA

    March 30, 2022
  • HAKIELIMU WAKABIDHI MAJENGO YENYE THAMANI YA ZAIDI YA MIL. 140

    March 23, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI LIMEPOKEA, KUJADILI NA KUPITISHA TAARIFA MBALIMBALI ROBO YA PILI 2021/2022

    March 17, 2022
  • Angalia Zote

Video

MSTAHIKI MEYA BW. RAMADHAN KAPELA - UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NA UWEKEZAJI KATIKA MANISPAA YA TABORA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA
  • Taarifa Mbalimbali
  • Fomu ya maombi ya Leseni
  • Jarida 2020
  • eMrejesho
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Manispaa Tabora - Barabara ya Boma

    Anwani ya Posta: S.L.P 174 Tabora

    Simu ya Ofisi: 026-2604315/6088

    Simu ya Mkononi: 0784705044

    Barua Pepe: md@taboramc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.