• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KIKAO CHA KAMATI YA AFYA YA MSINGI NGAZI YA WILAYA YA TABORA CHAFANYIKA

Posted on: November 26th, 2022

Na Paul Kasembo

Kikao cha Kamtiya Afya ya Msingi kimefanyika katika Wilaya ya Tabora hukukikisisitiza elimu kuendelea kutolewa kwa wananchi wote wa Wilaya iliwawe na uelewa wa pamoja kwa muktadha mpana wa kuondoka na matatizoyatokanayo na Afya ya Msingi.

Akisoma hotuba kwa  wajumbe wa kamati hiyo Bi. Haika MasueakimuwakilishaKaimu Mkuu wa Wilaya ya Tabora ambaye pia ni Mkuu waWilaya ya Tabora Mhe. Paul Chacha Matiko alisema kuwa Wilaya yaTabora imepokea Dozi Sitini natatu elfu (63,000) ya chanjo ya tone yaPolio ambazo tayari zimesambazwa katika Vituo vyote vya kutoleahuduma za Afya.

Bi Haika alisema kuwa Kampeni hii imelenga kuwafikia watoto Hamsinina mbili elfu na mia nne themanini na sita (52,486) wenye umri wachini ya miaka mitano (5) kampeni ambayo itafanyika kwa utaratibu wakupita nyumba kwa nyumba, vituo vyote vya kutolea huduma za afya,maeneo yenye mikusanyiko ya watu wengi kama vile vituo vya kuleleawatoto wadogo, stendi za mabasi, sokoni na minadani.

“Hadi sasa maandalizi yote ya utekelezaji wa kampeni hiiyanaendelea katika ngazi zote kuanzia Wilaya, Vituo vya kutoleahuduma ya Afya na katika shule zote za Msingi, hivyo nitoe wito kwaMkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, Wanahabari, Viongoziwa Kijamii, Viongozi wa Madhehebu ya Dini na wadau wengine katikakuhakikisha kuwa ujumbe unawafikia walengwa kwa uhakika na kwawakati,” alisema Haika.

Awali akimkaribisha Mgeni Rasmi muwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaaambaye pia  ni Mkuu wa Divisheni ya Elimu Msingi Bw. Joel A. Mkuchikaalisema kuwa Manispaa ya Tabora imejipanga vya kutosha katikakutekeleza zoezi hilo muhimu kwa maslahi mapana ya watoto na jamii yaManispaa ya Tabora kama ambavyo Serikali imeelekeza.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.