• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YAMSHUKURU MHE.RAIS KWA KUWAPUNGUZIA UMBALI WA KWENDA SHULE WANAFUNZI WA KATA ZA KAKOLA NA MTENDENI

Posted on: August 6th, 2024


Na Alex Siriyako;

Kwa niaba ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI, Mwenyekiti wa kamati hii Mheshimiwa Razaro Nyamoga ametoa shukrani za dhati kwa Mheshiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia adha ya kutembea umbali mrefu kwenda shule wanafunzi wa Kata za Kakola na Mtendeni, kwani sasa wanafunzi hawa wanasomea katika shule zao mpya kabisa ambazo zimejengwa karibu kabisa na makazi yao.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI leo Agosti 6, 2024 imefanya ziara ya kukagua miradi katika Manispaa ya Tabora, ikiwa ni mwendelezo wa zaira yao Mkoani Tabora, ambapo wamekagua shule za Kakola Sekondari iliyopo Kata ya Kakola, pamoja na Shule ya Msingi Kidatu iliyopo Kata ya Mtendeni.

Shule ya Sekondari Kakola kukamilika kwake kumewaondolea adha wanafunzi wa Kata ya Kakola ambao walikuwa wanalazimika kusomea Shule ya Sekondari Misha, iliyopo Kata ya Misha Pamoja na Shule ya Sekondari Nkumba iliyopo Kata ya Uyui, na kulazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilometa kumi na tano kila siku.

Shule ya Msingi Kidatu imewaondolea adha ya kulundikana  katika Shule ya Msingi Magereza iliyopo Kata ya Mtendeni, hivyo kuwapa fursa ya kusomea mazingira mazuri pasi na kubanana, lakini vile vile kulingana na ukubwa wa Kata hiyo ya Mtendeni, wanafunzi hawa hutumua muda mchache kwa sasa kufika shule hii mpya ya Kidatu.

Aidha, Mheshimiwa Nyamoga amewasihi sana wazazi wawahimize watoto kusoma shule kwa bidii na wasiwakatize masomo yao kwa sababu yeyote ikiwamo kuwaozesha na kuwapeleka watoto kuchunga mifugo wakati wa masomo.

Amesisitiza sana ujumbe huu kwa kuzingatia kuwa, miongoni mwa changamoto zinazoikabili Manispaa ya Tabora ni pamoja na wanafunzi wengi hasa wa elimu ya Sekondari katika Kata za pembezoni mwa Manispaa hii ambazo zilikuwa bado hazijapata shule za sekondari kutokumaliza masomo yao, na sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umbali mrefu kwenda shule, changamoto ambayo kwa sasa imetatuliwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.