• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

HANNAH KIM AIPONGEZA HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI MZURI WA MRADI WA UBORESHAJI MIJI NA MANISPAA TANZANIA BARA (ULGSP)

Posted on: October 18th, 2019

Pongezi hizo zimetolewa leo na Hannah Kim  kiongozi wa timu ya World Bank Supervion Mission Group Two alipotembelea Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ili kukagua utekelezaji wa Mradi huo wa ULGSP.

Sifa hizo zilielekezwa kwa Menejimenti yote ya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ambayo inaongozwa na Bosco Ndunguru ambae ndiye Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora, kuwa wametekeleza Mradi huo kwa ubora, viwango na kwa wakati stahiki jambo ambalo lilimfuarahisha sana Kim.

Sambamba na ukaguzi wa miradi hiyo ya ULGSP lakini pia alipata fulsa ya kutembezwa na kuona maeneo mbalimbali itakapojengwa miradi mingine kama vile Dampo la kisasa, Machinjio ya kisasa eneo la kata ya Kitete na kata ya Ng’ambo pia na mradi wa ujenzi stendi ya basi ambayo itakuwa ya kisasa zaidi kwenye eneo lilipo kata ya Ipuli hapa Manispaa ya Tabora.

Kwa upande wa wataalamu waliokuwa wameongozana na ujumbe huo Mhandisi Rashid Mtamila na Muindi Mushangi waliipongeza Menejimenti yote ya Manispaa ya Tabora kwa kuwa wameweza kutekeleza kwa ufanisi, weledi na umakini mkubwa na tena kwa wakati na hivyo kuifanya Manispaa ya Tabora kuwa na muonekano wa kisasa zaidi na wenye mvuto na wenye thamani inayolingana na matarajio yao.

Awali akiwakaribisha wajumbe hao kutoka Benki ya Dunia, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora Bosco Ndunguru aliwaeleza wajumbe kuwa Manispaa ya Tabora imefanya vizuri sana kwenye utekelezaji wa Mradi wa ujenzi wa barabara zenye jumla ya urefu kwa KM 21.35, ununuzi wa mitambo mine (4), kontena za kutunzia taka ngumu arobaini (40) na lori mbili (2).  

Vyote hivyo kwa pamoja vinaifanya Manispaa ya Tabora kwa sasa kuonekana ya kisasa zaidi na yenye mandhari ya kuvutia sana hasa ukizingatia pia kumefanyika upandaji miti pembezoni mwa barabara zote zoezi ambalo lilikuwa likisimamiwa na Agrey Mwanri Mkuu wa Mkoa wa Tabora pamoja na Komanya Kitwala Mkuu wa Wilaya ya Tabora. Na hivyo kuifanya Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuwa ni moja kati ya Halmashauri zinazofanya vizuri zaidi kati ya zile zinazotekeleza Miradi ya ULGSP Tanzania Bara,‘’alisema Ndunguru’’.

Ziara hiyo pia ilijumuisha wataalamu mbalimbali kutoka OR-Tamisemi, Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, Tarura Manispaa, Kampuni ya ujenzi wa barabara CICO, na Kampuni ya Mhandisi Mshauri-Advance Engineering Solution.

Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ni miongoni mwa Halmashauri kumi na nane (18) Tanzania Bara inayotekeleza Miradi ya Uboreshaji Miji na Manispaa (ULGSP).

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.