• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DKT. DUGANGE ASHAURI UJENZI WA SHULE MPYA UZINGATIE MIUNDOMBINU YA MICHEZO

Posted on: August 19th, 2022

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (AFYA) Dkt. Festo Dugange, ameagiza ujenzi wa shule mpya za sekondari na msingi uzingatie miundombinu ya michezo kwa wanafunzi. Aidha amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kutenga maeneo ya michezo wanapopanga na kupim miji yao ili iendane na mahitaji ya wakati husika.

Akifunga mashindano hayo ya UMISSETA na UMITASHUMITA TAIFA 2022 Dkt. Dugange amesema kuwa, Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan inatambua umuhimu wa michezo na ndiyo maana imeamua kuendeleza  kwa wanafunzi hao kushiriki ili kuendeleza vipaji vya watoto hao.

Aidha kuhusu suala la upungufu wa waalimu wa masomo ya michezo Dkt. Dugange alisema anawahakikishia kuwa Serikali imejipanga kuongeza ajira za kada ya ualimu kwa masomo yote wakiwemo waalimu wa michezo kwa sahule za msingi na sekondari.

Na katika kuimarisha usimamizi wa shughuli za michezo, Sanaa na utamaduni katika Mamlaka za Serikali za Mitaa Serikali imeanzisha Kitengo cha Utamaduni, Sanaa na Michezo kuanzia Julai 1, 2022.

“Changamoto za Halmashauri kutokuwa na Maafisa Utamaduni na Maafisa Michezo  Ofisi ya Rais – TAMISEMI tutashirikiana na wizara ya Utamaduni , Sanaa na Michezo na Wizara ya Utumishi ili kuzifanyia kazi changamoto hizo zilizopo  na Kitengo hiki kuimarika ili kuzifanikisha azma ya Serikali ya Awamu ya Sita,” alisisitiza Dkt. Dugange.

Kando nae, Mkuu wa Mkoa wa Tabora  Dkt. Batilda S. Burian ameishukuru sana Serikali ya Awamui ya Sita kwa kuamua kuuchagua  Mkoa wa Tabora kuwa mwenyeji wa mashindano hayo, na kwamba michezo hiyo imekuwa na tija kubwa sana kwa wanafunzi wenyewe, waalimu imleta  furaha kubwa miongoni mwao na kuimarisha upendo sambamba na kuinua uchumi wa Mkoa kwa ujumla kwani wajasiliamali wadogowadogo, wakubwa na wote kwa pamoja wamefanikiwa kufanya biashara zao vizuri kabisa.

Kufungwa kwa mashindano haya, kunafungua fursa nyingine ya mashindano kwa shule za msingi Afrika Mashariki yatakayoanza mwishoni mwa mwezi huuwa Agosti katika Jiji la Arusha.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.