• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DKT. BATILDA AZINDUA RASMI BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA TABORA

Posted on: August 17th, 2021

Na Paul Kasembo.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dkt. Batilda Buriani, amezindua rasmi Baraza la Biashara ya Wilaya ya Tabora lenye lengo la kujenga uelewa na mtazamo wa pamoja kuhusu masuala muhimuya maendeleo kati ya Sekta hizi mbili.

Akizindua Baraza hilo Balozi Dkt. Batilda aliwaeleza wajumbe wa Baraza hilo pamoja na wadau mbalimbali waliohudhurio kwenye Ukumbi wa Mikutano uliopo Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuwa, uwepo wa Baraza hilo utawezesha utekelezaji wa Mwongozo utapelekea uwepo wa mazingira wezeshi kibiashara, kutajenga na kuaminiana miongoni mwa wadau na hivyo kuifanya Sekta Binafsi kuwa endelevu zaidi.

“Sisi Serikali tunawahakikishieni mazingira rafiki, wezeshi na salama kwenu nyinyi wadau wa Sekta Binafsi kwenye shughuri zenu kwani kufanikiwa kwenu ndiyo kufanikiwa kwa Serikali pia”, alisema Dkt Batilda.

Balozi Dkt. Batilda alisisitiza kuwa mabaraza ya biashara yameanzishwa kwa mujibu wa sheria mnamo mwaka 2001, na Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri  ya Muungano wa Tanzania, amezindua rasmi Balaza la Biashara Kitaifa, na akaagiza mabaraza ya biashara kwa ngazi za Wilaya yaundwe na yaanze kazi mara moja.

Aidha aliwataka wadau wote kuzibaini na kuzitumia vema fulsa zilizopo kwenye Wilaya ya Tabora zikiwamo kilimo cha Alizeti, Pamba, Tumbaku, Karanga, Mahindi na kwa sasa kuna kilimo cha Mikorosho ambacho kinakubali katika maeneo mengi hapa Wilaya ya Tabora pia kuanziasha kilimo cha Michikichi ili kukidhi mahitaji ya mafuta ya kula.

Akimkaribisha Mkuu wa Mkoa, Mhe. Dkt Yahaya Nawanda alimshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuona umuhimu wa jambo hilo na kisha kuelekeza pia litekelezwe katika Wilaya ambapo kwa Wilaya ya Tabora uzinduzi ndiyo unafanyika, kisha akamshukuru Mkuu wa Mkoa wa Tabora kwa kukubali kuja kuwa Mgeni Rasmi kwenye uzinduzi huo na mwisho aliwashukuru sana wadau wote wa Sekta Binafsi kwa muitikio wao kuja kwenye uzinduzi.

Kando na uzinduzi pia Dkt. Batilda alitmia fulsa hiyo kuwaeleza wadau na wajumbe hao juu uwepo wa maandalizi ya uzinduzi wa loti ya tatu na ile ya nne ya ujenzi wa Reli ya mwendo kasi, kwenye loti ya tatu itaanzia Makutupora-Singida mpaka Tabora, na Loti ya nne itaanzia Tabora mpaka Isaka-Shinyanga. Fulsa hiyo itakwenda sambamba na fulsa ya ujenzi wa Bomba la Mafuta  kutoka Nchi ya Uganda mpaka Tanga-Tanzania ambao utaanza siku za usoni, ambapo bomba hilo linapita Wilaya za Nzega na Igunga Mkoani Tabora, amefafanua zaidi kwamba kambi kubwa itakuwepo Nzega hivyo itatoa fursa za ajira kwa wakazi wa Tabora pamoja na fulsa za biashara za vyakula mbalimbali.

Dkt.Batilda alihitimisha hotuba yake fupi kwa kuwataka Uongozi wa Wilaya ya Tabora kumpelekea ratiba ya vikao vya Baraza hili la biashara kwa mwaka mzima,ambapo baraza linakaa mara nne kwa mwaka, vilevile kama wilaya wakae waandae mpango wa utekelezaji wa mpango mkakati wa Mkoa, na mwisho kabisa akatoa rai kwamba suala la Sekta Binafsi liwe chachu ya maendeleo na litafsiriwe kwa vitendo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.