• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DC TABORA MJINI AKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA (CHF ILIYOBORESHWA) KWA WATOTO 228 WENYE MAHITAJI MAALUMU TABORA MANISPAA

Posted on: January 22nd, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini Komanya Kitwala leo amegawa Kadi za Bima ya Afya (CHF ILIYOBORESHWA) kwa watoto 228 wenye mahitaji maalumu wanaosoma kwenye Shule za Msingi Viziwi na Furaha zote za Tabora Manispaa.

Kadi hizo za Bima ya Afya zimegharimiwa na shirika la Caritas linalomilikiwa na Kanisa Katoriki Jimbo kuu Tabora ambazo zitaweza kuwasaidia watoto hao wenye mahitaji maalumu kupata huduma ya matibabu kuanzia ngazi ya Zahanati mpaka hospitali ya Rufaa popote pale hapa nchini.

Akizungumza wakati wa haflaya kukabidhi kadi hizo kwa wanafunzi hao, Mkuu wa Wilaya alisema kuwa ni vema sasa tuwe na mguso kwa mtu mmoja mmoja, mashirika ya kiserikali au yale yasiyokuwa ya kiserikali kuweza kuwasaidia wanafunzi na wale wasikuwa wanafunzi hasa wale wenye mahitaji maalumu kama hawa ili na wao wahisi wapo kwenye jamii inayowajali na kutambua uwepo wao. Kwa kufanya hivyo kutakuwa na msaada mkubwa sana kwa jamii zetu, serikali na hazina kubwa kwa Mwenyezi Mungu pia.

“Ninawashukuru sana Shirika la Caritas ambalo limejitolea kuwalipia gharama za Kadi hizo zote kwa wanafunzi hawa ambapo leo hii ndiyo nawakabidhi wanafunzi hawa wenye mahitaji maalumu kutoka Shule ya Msingi VIziwi, na Shule ya Msingi Furaha ambayo inafundisha wanafunzi wasioona. Nitumie fulsa hii kuwaomba wahisani wengine yakiwemo mashirika ya kiserikali na yasiyokuwa ya kiserikali kuiga mfano huu wa shirika la Caritas, aidha nimshukurui pia Afisa Maendeleo ya Jamii wa Manispaa ya Tabora Tumaini Mgaya ambaye alishiriki kuandaa kazi hiyo yote.” Alisema Komanya.

Kwa upande wake Sheikh wa Wilaya ya Tabora Mjini Ramadhani Juma alimshukuru sana Mkuu wa Wilaya kwa kutambua uwepo wake na hata akamualika kwenye hafla hiyo, pia akatumia fulsa hiyo kuwapongeza Caritas kwa namna walivyoguswa hata wakaamua kugharamia kadi hizo za Bima ya Afya. Kisha akatumia fulsa hiyo kuwaomba wahisani wengine kuweza kujitokeza kuwasaidia watoto hasa wenye mahitaji maalumu waweze kuhisi kuwa tupo pamoja, maana kwa hali waliyonayo kwa sasa ni kama yatima vile, hivyo tushirikiane kuwasaidia na tusiwaachie peke yao shule husika klwa hao watoto ni wetu sote.

Naye Mch. Marco Ngalu wa Kanisa la AICT TABORA, aliwapongeza sana wadau wote akianzia na Mkuu wa Wilaya kwa namna ambavyo amekuwa akisaidia shughuri nyingi za kijamii ikiwemo hii ya leo ya kukabidhi kadi za bima ya afya kwa wananfunzi hawa wenyewe mahitaji maalumu wa Shule hizi za Msingi Viziwi na Furaha. Lakini pia alitumia fulsa hiyo kuwaomba wadau wengine mbali mbali waweze kujitokeza kuwasaidia wanafunzi hao ambao kwakweli wanahitaji ukaribu zaidi muda wote.

Kukabidhiwa kwa kadi hizo kwa wanafunzi hao wa shule za msingi Viziwi na Furaha kutawapatia uhakika wa matibabu ya afya na hivyo kuwawezesha kusoma na kwa uhakika na hatimae kuongeza ufaulu zaidi kwakuwa watakuwa na afya njema wakati wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.