• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DC KATWALE AAPA KUTOKOMEZA FOLENI WILAYA YA TABORA

Posted on: March 13th, 2024

Na Alex Siriyako:

Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe. Deusdedith Katwale ameepa kutokomeza foleni za Wanamchi wanaotaka huduma katika taasisi mbalimbali za umma, Vituo vya kutolea huduma za afya hasa vya umma pamoja na Ofisi mbalimbali za Serikali.

Mhe.Katwale amefafanua kuwa, Wananchi ndio wameiweka Serikali madarakani, hivyo haipendezi na sio sawa kuwaona wanapoteza muda wao mwingi kwenye foleni wakisubiri huduma huku na wengine wakiwa ni wagongwa kwenye vituo vyetu vya huduma za afya.

Ameongeza kuwa ni wajibu wa Kiongozi, Afisa wa Serikali na mtoa huduma yeyote yule kuhakikisha kila Mwananchi anapata huduma stahiki na kwa wakati na kumpa muda wa kwenda kufanya kazi zingine za kujenga Taifa.

Mhe.Katwale ametoa rai hii leo Machi 13,2024 katika ukumbu wa Manispaa ya Tabora katika kikao chake cha kwanza kabisa na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Wilaya ya Tabora baada ya kuwasili katika Wilaya aliyohamishiwa (Tabora) akitokea Wilaya ya Chato alikokuwa akifanyia kazi kwa nafasi kama hii ya Mkuu wa Wilaya.

Aidha Mhe.Katwale ametanabaisha kuwa, angetamani sana Manispaa ya Tabora kuwa Jiji, kwani Manispaa ya Tabora ni miongoni mwa Manispaa za kwanza kabisa Nchi hii, lakini bado inaendelea kuitwa Manispaa hadi leo, hali ambayo haileti tija kwa wakazi wa mji huu.

Katika kuonesha nia yake thabiti ya kupambana kuitoa Manispaa ya Tabora hatua moja kwenda hatua nyingine, Mhe.Katwale amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora (ambaye amewakilishwa na Kaimu Mkurugenzi, Mhifadhi Sefu Salumu) ndani ya wiki moja kuwasilisha mezani kwake mpango mkakati wa kuitoa Manispaa ya Tabora hapa ilipo na kuwa Jiji.

Mhe.Katwale amesisitiza kuwa hana itifaki kwenye ufuatiliaji wa maslahi ya Wananchi na atatoa ushirikiano kwa kila Mtanzania bila kujali cheo chake na nafasi yake, Zaidi amefafanua kuwa kikao cha leo ni kwaajili ya kufahamiana, ili kazi na majukumu mengine yaweze kuendelee vizuri.

Amehitimisha kikao hiki kwa kumshukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini katika nafasi hii kwa awamu nyingine tena, na amewashukuru Wanatabora kwa mapokezi mazuri na kusisitiza tena atatoa ushirikiano wa kutosha kuwatumikia Wananchi.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.