• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

DC BURA AWAAGIZA WATENDAJI KATA KUONGEZA NGUVU NA HAMASA KATIKA KUSIMAMIA VIASHIRIA VYA LISHE

Posted on: February 15th, 2023

Na Alex Siriyako:

Maagizo haya ameyatoa leo Machi 15, 2023 katika kikao cha tathimini ya hali ya lishe kwa robo  ya pili (Octoba-Disemba) ya mwaka wa fedha 2022/2023 ambacho kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.

Vikao kama hivi hufanyika kila robo ya mwaka kwa lengo la kutathimini hali halisi ya lishe kwa Wakazi wa Manispaa ya Tabora. Na ili kupata taswira halisi , wajumbe wanapata fursa ya kutathimini kiashiria kimoja baada ya kingine kwa kulinganisha na utekelezaji wake kwa maana ya jitihada za kuhamasiha  na kusimamia afua za lishe na kuhakikisha Wananchi wanapata Mulo Kamili.

Miongoni mwa viashilia vya Lishe kwa ngazi ya Kata ni pamoja na Idadi ya Wanafunzi wanaokula Shuleni, Sheria ndogo za Lishe za Mitaa/Vijiji, Idadi ya Shule za Msingi/Sekondari zinazotoa huduma ya Chakula, Idadi ya Kaya zenye Wajawazito zilizotembelewa na Mhudumu wa Afya ngazi ya jamii, Idadi ya watoto chini ya miaka 5 wenye utapiamlo mkali, taarifa ya robo mwaka ya shule zinazotoa chakula, Idadi ya Vijiji/Mitaa vinavyoadhimisha siku ya lishe, pampoja na Idadi ya Vijiji/Mitaa vinavyobandika mabango yanayotoa ujumbe kuhusu lishe.

Katika kikao cha leo, wajumbe wamepata taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2022-2023 ambapo maendeleo ya usimamizi sio mazuri, Vilevile wajumbe wametumia muda wa kutosha namna bora ya kutekeleza SIKU YA AFYA NA LISHE YA KIJIJI (SALIKI). Lengo kuu la SALIKI ni kuimarisha mifumo ya kijamii ya utoaji na upatikanaji wa huduma endelevu za afya na lishe ya mama, mtoto na jamii kwa ujumla.

Kwa kutambua faida nyingi za SIKU YA AFYA NA LISHE YA KIJIJI, Wajumbe kwa pamoja wameazimia kufikia tarehe 19 Machi, 2023 Kata zote za Manispaa ya Tabora ziwe zimeadhimisha siku hii muhimu kwa robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Hata hivyo katika kuhitimisha kikao hiki, Mhe. Bura amewakumbusha Watendaji Kata kusimamia miradi ya maendeleo, kusimamia vyanzo vya mapato vilivyopo chini yao, wasikilize na kutatua kero za Wananchi , lakini vilevile waimarishe upendo na watumishi wengine kwenye kata zao ili kuleta tija kwenye utekelezaji wa majukumu yao kwani upendo unawafanya wawe kitu kimoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.