• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

BARAZA LA MANISPAA YA TABORA LAPITISHA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA BILIONI 43.9 KWA AJILI YA MWAKA UJAO WA FEDHA 2019/2020

Posted on: January 26th, 2019

HALMASHAURI ya Manispaa yaTabora inatarajia kukusanya jumla ya shilingi bilioni 43.9 zinatarajiwa katikabajeti ya mwaka wa fedha 2019/20 kutokana mbalimbali. 

Taarifa hiyo imetolewa hivi karibuni na Mchumi wa Manispaa ya Tabora JosephKashushura  wakati wa kikao cha Baraza laMadiwani  kupitia mapendekezo ya bajeti .

Alisema katika mapato ya ndani ya Halmashauri wana lengo lakukusanya shilingi bilioni 4.6 sawa na ongezeko la asilimia 10 ukilinganisha namasikio ya mwaka 2018/19 wa bilioni 4.2 kutoka vyanzo vya ndani.

Kashushura alisema kutokaSerikali Kuu na kwa wahisani wanatarajia kupata jumla shilingi bilioni 39.2ikiwa ni pungufu ya asilimia 34 ukilinganisha na bilioni 59.8 ya mwaka 2018/19.

Alisema bajeti ya ruzukukutoka Serikali kuu na wahisani imepungua kutokana na kukamilika kwa baadhi yamiradi ya barabara ambazo zimeshajengwa kwa kiwango cha lami katika Manispaa yaTabora.

Kashushura alivitajavipaumbele katika bajeti ijayo kuwa ni uendelezaji wa jengo la utawala ambalolimetengewa milioni 200 , kuwa na fedha za fidia sehemu ambapo vitajengwaviwanda milioni 100 , uboreshaji wa miundombinu ya sekondari na shule za msingimilioni 100, mikopo kwa wanawake, vijana na walemavu milioni 244.4

Aliongeza kuwa vipaumbelevingine ni shughuli za lishe zimetengewa milioni 117, mishahara ya vibarua washughuli za mazingira milioni 108.8, uendeshaji wa Hospitali milioni 80 ,kulipa madeni milioni 50 na serikali kuu kuwaletea bilioni 1.5 kwa ajili yaHospitali ya Wilaya.

Kashushura  alisema kuwa kiasi cha shilingi bilioni 1zimetengwa kwa ajili utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Kata29 za Manispaa ya Tabora na kuongeza kuwa mwaka ujao watabuni vyanzo vipyavitano vya mapato.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.