• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA TABORA LAKEMEA VIKALI VITENDO VYA ULAWITI KWA WATOTO WA SHULE

Posted on: August 12th, 2024

NA Alex Siriyako:

Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora limelaani na kukemea vikali vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto hasa wa shule za Msingi katika Manispaa.

Rai hii imetolewa na Baraza la Madiwani ambalo limefanya kikao cha kawaida cha robo ya nne mwaka wa fedha 2023/2024 katika ukumbi wa Manispaa ya Tabora leo Agosti 12, 2024.

Ni kufuatia tuhuma za mwalimu ajulikanae kwa jina la Doto Elias Masatu kumulawiti mwanafunzi (jina linahifadhiwa) wa kiume, mwenye umri wa miaka saba (7) anaesoma darasa la pili katika shule ya msingi Saint Doroth iliyopo Kata ya Mtendeni katika Manispaa ya Tabora.

Tukio hili limebainika siku chacha zilizopita na tayari uongozi wa Mkoa wa Tabora chini ya Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Matiko Chacha umeshatoa maelekezo na Jeshi la Polisi Mkoani hapa linaendelea na uchunguzi na kuchukua hatua stahiki, ikiwa ni pamoja na kumuweka mahabusu mtuhumiwa huyo.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora Mhe. Ramadhan Kapela amelishukuru Jeshi la Polisi Mkoani Tabora pamoja na vyombo vingine vya usalama kwa hatua ambazo wameshazichukua, lakini pia ameomba watu wanaozunguka na kwenda kwa mama mzazi wa mtoto anaedaiwa kulawitiwa na kumshawishi wayamalize nje ya mahakama nao wakamatwe na ikiwezekana washitakiwe pia.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Tambukareli, Mhe. Zinduna Kisamba ambae pia ni Katibu wa Jumuia ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Tabora, ameeleza jinsi ambavyo wao kama wazazi na viongozi wamesikitishwa na tukio hilo, na ametoa ushauri na maoni yake kuwa watu wenye tabia chafu kama hizi ni vyema wakahasiwa, kwani hata huko gerezani wanaendeleza michezo hii michafu, na hata wakimaliza adhabu yao wakirudi uraiani kuna uwezekano mkubwa sana wa kuendeleza tabia hizi.

Pamoja na agenda nyingi zilizojadiliwa, Baraza limepokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shuguli za maendeleo katika Kata ishirini na tisa (9) za Manispaa ya Tabora, na kwa pamoja Waheshiwa Madiwani wameipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa miradi ya kutosha katika kata zote za Manispaa ya Tabora inayoendelea kutekelezwa na iliyokamilika hivi karibuni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.