• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

ASILIMIA 10 YA MAPATO YA NDANI YANUFAISHA VIKUNDI VYA VIJANA TMC

Posted on: November 5th, 2022

Na Paul Kasembo-TMC.

Halmashauri ya Manispaa ya Tabora itaendelea kuwanufaisha Vikundi mbalilmbali vyote vinavyokidhi vigezo vya kupata mikopo vikiwamo vya Vijana, ambapo kupitia mapato ya ndani imeweza kuwapatia Tzs Milioni 20 Kikundi cha Vijana cha Bright Vision kilichopo Mtaa wa Mihogoni Kata ya Mbugani hapa Manispaa ya Tabora.

Akizungumza  wakati wa hafla fupi ya kuzindua rasmi Mashine ya Kufyatulia Tofali iliyonunuliwa na vijana hao baada ya kupata mkopo huo  muwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Dr. Peter Maiga Nyanja ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Mnispaa ya Tabora Bi. Neema Gidion Kapesa aliwaeleza wana kikundi kuwa Mnaispaa ya Tabora itaendelea kuwawezesha Vikundi vyote vitakavyokidhi vigezo vya kupata mikopo kama ilivyotokea kwa kikundi cha vijana cha Bright Vision huku akisistiza kuwa Manispaa imedhamiria kuwainua kiuchumi zaidi wana Manispaa.

Manispaa ya Tabora imejipanga vema kabisa kuhakikisha kuwa vikundi vyote vyenye kukidhi vigezo vinapatiwa mikopo hiyo isiyokuwa na riba kbisa kani ndiyo maelekezo ya Serikali na kwa upande wa Manispaa tumejipanga vema kuwapatia zaidi ya Milioni 500 kwa mwaka huu wa fedha 2022/2023, alisema Bi. Neema Kapesa.

Akisoma taarifa fupi ya kikundi Bw. Abdulhafidhi Daudi Manyori alisema kuwa kwa dhati kabaisa wananishukuru sana Ofisi ya Mkurugenzi wa Mnaispaa ya Tabora, Idara ya Maendeleo ya Jamii, wadau wa Maendeleo wakiwamo MDH TABORA, Mhe. Diwani kwa jhudi zao katika kuwajali na kuwainua kiuchumi vijana hao kwani mkopo huo unakwenda kuwaboreshea maisha yao na pia kupunguz tatizo la nyumba duni katika eneo hilo na wakazi wopte wa Manispaa kwa ujumla kwani wataanza kutengeneza na kuuza tofali kwa bei nafuu zaidi ili kutoa huduma kwa wananchi wote.

Huu ni muendelezo wa utekelezaji wa lengo la Manispaa katika kuwainua wananchi kiuchumi unaotekelezwa kwa vitendo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Dr. Peter Miaga Nyanja katika kuyaishi maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan ya kuinua jamii yote hasa wale wote walio kwenye vikundi na kuipaisha Manispaa kiuchumi na utekelzaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi  2020-2025.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 06, 2025
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU October 01, 2024
  • Mazoezi kwa Wafanyakazi na Wananchi, Jumamosi ya Pili kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MEYA WA MANISPAA YA TABORA AELEZA KUWA KILA MFANYABIASHARA ANAO WAJIBU WA KULIPA TOZO NA USHURU WA HALMASHAURI

    May 20, 2025
  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.