• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

Malalamiko

DAWATI LA MALALAMIKO LA HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA.

Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ni miongoni mwa Halmashauri 8 za Mkoa wa Tabora. Halmashauri ina jumla ya Kata 29, Mitaa 134 na Vijiji 41. Halmashauri imeanzisha Madawati ya Malalamiko kuanzia ngazi ya Halmashauri, Kata, Mitaa na Vijiji. Lengo la madawati haya ni kuimarisha utawala wa kidemokrasia na kuongeza wigo wa kuwasikiliza wananchi katika kupokea maoni na kutatua kero mbalimbali.

Hivyo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora anawatangazia watumishi na wananchi wote kuwa, yeyote mwenye maoni na malalamiko yanayohusu vitendo visivyo vya uadilifu, na rushwa katika huduma zinazotolewa kuwasilisha maoni/malalamiko kwa kufika ofisi ya Mkurugenzi Kitengo cha Malalamiko au kutuma ujumbe mfupi au kupiga simu kwa kutumia namba ifuatayo:

0765  835539   (Dawati la Malalamiko la Halmashauri)

Pia  maoni/malalamiko yanaweza kuwasilishwa kwa kutumia barua pepe ya Halmashauri ambayo ni malalamiko@taboramc.go.tz au kujaza fomu maalumu iliyopo kwenye tovuti ya Halmashauri  www.taboramc.go.tz

 

IMETOLEWA NA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA TABORA

 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA (PSLE) 2020 November 21, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 MANISPAA YA TABORA December 18, 2020
  • Usafi wa Mazingira kwa Wananchi Wote, Jumamosi ya mwisho kila Mwezi March 23, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI MANISPA YA TABORA LAPITISHA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA BILIONI 50.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022

    February 13, 2021
  • DC KOMANYA AZINDUA SHUGHURI ZA UHAMASISHAJI WA BIMA YA AFYA YA JAMII (CHF ILIYOBORESHWA) MANISPAA YA TABORA

    January 19, 2021
  • MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI KIFUA KIKUU NA UKOMA WADHAMIRIA KUZIFIKIA KATA ZOTE TABORA MANISPAA

    December 18, 2020
  • MSTAHIKI MEYA TABORA MANISPAA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA VILEO

    December 17, 2020
  • Angalia Zote

Video

MSTAHIKI MEYA BW. RAMADHAN KAPELA - UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO NA UWEKEZAJI KATIKA MANISPAA YA TABORA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA
  • Taarifa Mbalimbali
  • Fomu ya maombi ya Leseni
  • Jarida 2020
  • Taarifa kwa Umma
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Manispaa Tabora - Barabara ya Boma

    Anwani ya Posta: S.L.P 174 Tabora

    Simu ya Ofisi: 026-2604315/6088

    Simu ya Mkononi: 0786820518

    Barua Pepe: md@taboramc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.