• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

WATAALAMU WA PPRA KANDA YA MAGHARIBI NA KATI WATEMBELEA MANISPAA YA TABORA

Posted on: April 5th, 2024

Na Alex Siriyako:

Wataalamu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Manunuzi ya Umma Tanzania (PPRA) Kanda ya Magharibi na Kati wakiongozwa na Kaimu Meneja wa Kanda hii Mhandisi Suma Atupele, wametembelea Halmashauri ya Manispaa ya Tabora leo Aprili 5,2024, ambapo wamekutana na kuzungumza na Wakuu wa Sehemu na Vitengo. Aidha Mhandisi Atupele ameongozana na Bi. Anna Bubele ambaye ni Afisa Manunuzi pamoja na Ndugu Jumanne Marumbo ambae ni Mkadiriaji Majenzi.

Katika ujumbe wake mfupi Mhandisi Atupele amefafanua kuwa, zaira yao katika Manispaa ya Tabora pamoja na mambo mengine ni kujitambulisha, kwa kutambua kuwa ofisi za PPRA Kanda ya Magharibi na Kati ndio zimefunguliwa hivi karibuni, amehimiza matumizi ya mfumo wa manunuzi wa sasa yaani NeST( National e-Procurement System of Tanzania) katika manunuzi ya Serikali ya aina yeyote na zaidi amewakumbusha Wataalamu kuendelea kusimamia vyema fedha za miradi kwenye taasisi zilizo chini yao na katika hili amesisitiza Wahandisi wafike saiti mara kwa mara kutoa maelekezo na kuepuka makosa yanayowezekana kuepukika.

Kwa upande wao Wataalamu wa Manispaa ya Tabora wakiongozwa na Mhifadhi Sefu Salumu (Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora), wameeleza changamoto wanazokabilina nazo katika matumizi ya mfumo wa manunuzi wa sasa (NeST).

Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na miradi kuchelewa kukamilika kwasababu ya taratibu za mfumo wa NeST kuchukua muda mrefu, wazabuni kupandisha bei za bidhaa na vifaa vya ujenzi kwa madai kuwa kuna gharama wanazolipa kujisajili kwenye mfumo huu wa NeST,  na wakaongeza kuwa utaratibu wa manunuzi ya Manispaa yote kufanyika kwenye ofisi ya Manunuzi ya Manispaa nayo ni sababu ya kupoteza muda wa kutekeleza miradi na katika hili wameshauri PPRA iangalie namna bora ya kuwapa elimu Walimu Wakuu, Wakuu wa Shule ,Waganga Wafawidhi pamoja na wazabuni, lengo likiwa kupata uelewa wa kutosha kuhusu mfumo huu na faida zake, lakini pia kuweza kuondoa baadhi ya vikwazo katika ujenzi wa miradi ya maendeleo.

Mhandsi Atupele katika kutolea ufafanuzi hoja zilizotolewa amefafanua kuwa kwa sasa PPRA kwa kushirikiana na TAMISEMI wameshakamilisha mfumo wa manunuzi kwenye ngazi za vituo vya kutolea huduma za afya na mashule na kilichobaki ni mafunzo tu ili mfumo huo uanze kutumika.

Aidha amefafanua kuwa hakuna sababu yeyote ya bei za vifaa vya ujenzi kupanda bei kwa kuzingatia kuwa asilimia kubwa ya fedha zote za miradi ya maendeleo ngazi ya chini hazina kodi (VAT exclussive), na akaongeza kuwa labda kinachohitajika kwa sasa ni elimu itolewe ya kutosha kwa wazabuni.

Mhandisi Atupele amefafanua kuwa mfumo wa manunuzi wa sasa (NeST) hausababishi manunuzi kuchelewa kwa namna yeyote ile kwani zabuni ikishatangazwa ni jukumu la Afisa Manunuzi kufuatilia zabuni hiyo ikiwa ni pamoja na kuwapa taarifa wazabuni wake wa karibu kama mafundi ujenzi ili waweze kuomba, na katika hili ametolea mfano kuwa PPRA iliamua kupunguza vigezo kwa mafundi ujenzi (Local Fundi) ili tu kutokuathiri namna kazi za ujenzi  kwa mfumo wa FORCE ACCOUNT zinavyofanyika.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.