• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSAZA KIUCHUMI

Posted on: December 18th, 2022

Na Paul Kasembo;

Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo katika Mkoa wa Tabora kwa kuwa mawazo yenye kutoa muelekeo wa ufumbuzi na baadaye kutaguta Mitaji kutoka Halmashauri zao na Taasisi za Kifedha zilizopo katika Halmashauri zao.

Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 18 Desemba, 2022 na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi. Dkt. Batilda Burian wakati akifungua Kampeni kwa Vijana wa Mkoa wa Tabora ijulikanayo KIJANA ONGEA NA MAMA iliyofanyika katika Ukumbi wa Mwanakiyungi uliopo katika Ofisi ya Mkuu wa Tabora.

Akiongea wakati wa ufunguzi, Mhe. Batilda alisema kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa pesa nyingi sana na kuwekeza katika ujenzi wa Vyuo vya Veta ambapo Mikoa mingi imejenga na kutoa fursa kwa vijana kukuza talanta zao ili wazitumie kujiajiri na kuajiri wenzao ambapo kwa Mkoa wa Tabora ilipokea zaidi ya Tzs Bilioni 4 kwa ajili ya ujenzi wa Vyio vya Veta.

Kwa upande wa Uwekezaji Mkoa wa Tabora kwa sasa unao mradi mkubwa wa ujenzi wa Reli ya Kisasa awamu ya Tatu (SGR) Makutopora - Tabora ambapo mpaka sasa wazawa 770 kati ya 1,142 wamepata ajira katika mradi huo.

Pamoja na mambo mengine, Mhe. Batilda Wakuu wa Wilaya wote kwenda kuanzisha Kiwanda kimoja kwenye Wilaya zao, kiwanda ambacho kitatoka na rasilimali/bidhaa watakazo chagua wao wenyewe vijana na hivyo kutoa ajira kwao.

"Nitumie fursa hii kuwaagiza Wakuu wa Wilaya wote kwenda kuanzisha na kusimamia Kiwanda kimoja kitakachotokana na bidhaa au rasilimali zao vijana wenyewe na kiwe chanzo cha ajira kwa vijana, na kujiajili wenyewe na ndiyo maana tumewaita hapa Wakuu wa Wilaya wote," akisema Mhe. Batilda.

Aidha amewataka vijana kutembelea abustani za Wanyama kama vile Tabora Zoo ili waweze kuona fursa zilizopo pale zikiwamo uuzaji wa vinywaji, chakula nk.

Kwa upande wao vijana walimpongeza na kumshukuru sana Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi. Dkt. Batilda Burian kwa kuamua kuyatekeleza maelekezo ya Mhe. Rais kwa vitendo, kwani kwa kufanya hivyo kutawawezesha vijana kufunguka changamoto zao na Serikali kusaidia upatikanaji wa ufumbuzi na hivyo kuleta mafanikio katika Uchumi wao.

Mkuu wa Mkoa waTabora amekuwa mstari wa mbele kahisa katika kuhakikisha kuwa Mkoa unapiga hatua kimaendeleo kupitia rasilimali watu, rasilimali vitu kwa kutumia fursa zilizopo hapa Mkoa wa Tabora.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.