• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

TUTAITUNZA NA KUILINDA MIRADI YA TACTIC - MEYA TABORA MANISPAA

Posted on: December 5th, 2024

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora, Mhe. Ramadhan Kapela ametoa wito kwa wakazi wa Tabora kuilinda na kuitunza miundombinu inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita kupitia miradi mbalimbali ikiwemo ya TACTIC, ili kuhakikisha miundombinu hiyo inakuwa na tija ya muda mrefu kwa wananchi.

Mhe. Kapela alisema hayo wakati wa Hafla ya utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa kituo cha Mabasi eneo la Inala pamoja na Ujenzi wa soko la Mjini Kati kupitia mradi wa Uboreshaji Miji Tanzania (TACTIC) katika Manispaa ya Tabora leo Disemba 05, 2024

“Miradi hii tumeisubiri kwa hamu kubwa na ni jambo la kumshukuru sana Rais wetu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza kiu ya wanatabora, rai yangu ni kuipokea miradi hii na kuitunza ili idumu kwa muda mrefu na kuleta tija,” alisema Mhe. Kapela.

Aidha, Mhe. Kapela ametoa rai kwa wananchi kuchangamkia fursa mbalimbali zinazokuja wakati wa utekelezaji wa miradi mbalimbali ndani ya Manispaa ya Tabora ili kuweza kuitumia kama sehemu ya kujiingizia kipato binafsi na kuchangia kwenye ukuaji wa uchumi wa Mkoa wa Tabora.

Pia Mhe. Kapela ameshukuru ujio wa mradi huo wa TACTIC akisema unaenda kuchagiza adhma yao ya kuifanya Manispaa hiyo ya Tabora kuwa Jiji.

Akizungumzia utekelezaji wa miradi hiyo ya TACTIC, Mhe. Kapela amemuahidi Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba kuwa watasimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi hiyo ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na thamani ya fedha ikionekana, akiwataka pia Vijana watakaopata fursa za ajira kwenye wakati wa ujenzi wa miradi hiyo kuwa waaminifu na kujiepusha na wizi wa vifaa vya ujenzi.

 Mhe. Kapela amehimiza pia wananchi wa Taboa kuchangamkia fursa za ujio wa miradi hiyo kwa kuhakikisha kuwa wanakuwa sehemu ya wanufaika wa vizimba na mabanda mbalimbali yatakayojengwa kwenye soko na kwenye kituo cha mabasi Inala.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.