• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MVUA ZA MWAKA HUU ZIMETUGHARIMU SANA: MADIWANI MANISPAA YA TABORA WAMUSHAURI MKURUGENZI KUNUSURU HALI YA VYOO KATIKA SHULE ZA MSINGI ZILIZOATHIRIKA

Posted on: February 21st, 2024

Na Alex Siriyako:


Madiwani ambao ni wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Uchumi, Elimu na Afya katika Manispaa ya Tabora wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hii Mhe. Salumu Msamazi ambae pia ni Diwani wa Kata ya Ikomwa wamemshauri Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora kuangalia bajeti ya dharula kwaajili ya ujenzi wa vyoo katika baadhi ya Shule za Msingi za Manispaa ya Tabora ambazo vyoo vyake vimetitia, kubomoka na vingine kujaa maji kabisa kiasi haviwezi kutumika kufuatia mvua nyingi zinazonyesha msimu huu katika Manispaa ya Tabora na maeneo mengine ya Tanzania.

Ushauri na maelekezo haya yametolewa na Madiwani wa Kamati hii ya Uchumi, Elimu na Afya leo Februari 21,2023 wakiwa katika ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Manispaa ya Tabora katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2023/20224.

Pamoja na mambo mengine, Waheshimiwa madiwani wameweza kutembelea na kuona umaliziaji wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Manispaa ya Tabora iliyopo Kata ya Mpera, wameona uharibifu wa vyoo katika shule za Msingi Ulamba iliyopo Kata ya Kalunde, Shule ya Msingi Mawiti iliyopo Kata ya Malolo, Shule ya Msingi Chemchem iliyopo kata ya Chemchem, pamoja na Shule ya Msingi Masubi iliyopo Kata ya Cheyo.

Aidha Mheshimiwa Salumu Msamazi kwa niaba ya wajumbe wa Kamati amemshukuru sana Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa fedha nyingi za maendeleo ambazo anaendelea kuipatia Manispaa ya Tabora, lakini pia akasisitiza Menejimenti ya Manispaa ya Tabora kusimamia ipasavyo fedha za miradi, lakini pia ihakikishe inatatua kero ya vyoo vyenye hali mbaya sana katika shule za Msingi zilizoathiriwa na mvua nyingi za msimu huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.