• Lalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
TABORA MUNICIPAL COUNCIL
TABORA MUNICIPAL COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango Miji na Ardhi
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Fedha na Biashara
      • MIfugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Kata
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fursa za Uwekezaji
    • Vituo vya Utalii
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Malalamiko
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi , Elimu na Afya
      • Kamati ya Maadili
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya Halmashauri
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo, Sera na Kanuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Picha

MKUU WA WILAYA AWAHAKIKISHIA USALAMA WATOTO WOTE WA MANISPAA YA TABORA

Posted on: June 16th, 2022

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe. Yahaya Esmail Nawanda wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika katika Shule ya Msingi Masagala, Kata ya Misha ambapo yeye Mkuu wa Wilaya ndiye alikuwa Mgeni rasmi.

Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo, Dkt. Nawanda aliwaeleza mamia ya wananchi waliokuwa wamefurika katika viwanja hivyo kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Samia Suluhu Hassan haipo tayari kuona watoto wakinyanyasika, kudharirika, wala kupata ukatili wowote wa kijinsia na kwenye Wilaya anayo iongioza yeye Dkt. Nawanda hatakubali kabisa kutokea kwa mambo hayo.

“Niwahahakishie wananchi wangu wa Wailaya ya Tabora kuwa, watoto wote waliomo kwenye Wilaya hii ninayo iongoza mimi sipo tayari kabisa kuona wakipatwa na matatizo yoyote ya kijinsia, unyanyasaji wala aina yoyote ya ukatili kwakuwa nimepewa dhamana ya kuwalinda katika Wilaya hii”, alisema Dkt. Nawanda.

Akimkaribisha mgeni rasmi, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora Mhe. Ramadhani Shabani Kapela (Diwani) alimueleza mgeni rasmi pamoja na wananchi kuwa, sheria ya mtoto inamtafsiri kama mtu mwenye umri wa chini ya miaka 18. Hivyo watoto ni sehemu ya jamii na ndiyo tegemeo endelevu la Taifa lolote, ni wajibu kwa wazazi kuwalea vizuri na kuwaendeleza, wasiachie Serikali peke yake katika hili na wazazi au walezi wawajibike.

Naye Diwani wa Kata ya Misha Mhe. Yassin Kushoka alimshukuru sana Mkuu wa Wilaya kwa kuitikia ombi la kwenda kwenda kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo, japokuwa anazo kazi nyingi lakini Mkuu wa Wilaya amekubaliana na kuhudhuria.

Kwa upande wao watoto walisema kuwa, pamoja na sharia ya mtoto kubainisha bayana haki za mtoto bado na wao watoto wanakutana na changamoto za kupata haki zao kama vile kuapata chakula kwa wakati, kutohudhuria masomo, malazi duni na kufanyiwa ukatili wa kingono, kimwili na kisaikolojia.

Siku ya Mtoto wa Afrika huadhimishwa kila mwaka ya tarehe 16, Juni kukumbuka mauaji ya halaiki ya watoto yaliyofanywa na majeshi ya Makaburu katika kitongoji cha Soweto nchini Afrika ya Kusini mwaka 1974.

Watoto hao waliuawa kikatili wakiwa katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi kama vile kutumika kwa lugha ya ki-Afrika na kuwafundishia  watoto wa ki-Afrika tu ili hali watoto wa kizungu wakitumia lugha ya kiingereza.

Siku hii ilianza rasmi kuadhimishwa baada ya Umoja wa Mataifa kuridhia kupitisha Mkataba wa Kulinda  Haki za Mtoto mnamo mwaka 1990.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFAZI ZA KAZI ZA MUDA MDH TABORA November 14, 2024
  • UCHAGUZI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA, 2024 December 17, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA March 05, 2024
  • FOMATI ILIYOBORESHWA YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE) 2024 KUTOKA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA March 13, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI WA MANISPAA YA BUKOBA WAKOSHWA NA MANDHARI NZURI NA SAFI YA TABORA

    April 10, 2025
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA TABORA YARIDHISHWA NA MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HAPA

    January 09, 2025
  • MIKOPO YA ZAIDI YA BILIONI 1.6 YATOLEWA NA MANISPAA YA TABORA

    January 04, 2025
  • MADIWANI WA KAHAMA WAIPONGEZA MANISPAA YA TABORA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

    December 23, 2024
  • Angalia Zote

Video

MAKALA Ukuaji wa Kasi wa Mji wa Tabora ndani ya Miaka Miwili (2)
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Jarida la Halmashauri Julai - Septemba 2022
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri 2021/22 - 2025/26
  • Capital Investment Plan
  • Tabora Master Plan 2015 - 2035
  • eMrejesho ( Kutuma, kupokea na kufuatilia Malalamiko, Mapendekezo, Maulizo na Pongezi)
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Fursa za Uwekezaji
  • Kanuni za Maadili ya Utumishi wa Umma

Kurasa Zinazofanana

  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mkoa wa Tabora

Waliotembelea Tovuti

world map hits counter

Waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Tabora.Haki zote zimehifadhiwa.